Nisaidieni vitu gani vya kukagua inaponunuliwa injini used?

Nisaidieni vitu gani vya kukagua inaponunuliwa injini used?

Mkuu Ndalilo injini haijakufa, gari inatembea ila ina mlio balaa yaani ningepata hao wataalamu wa kuoverhaul ingekuwa poa pia!
Usirogwe kufanya overhaul kama kuna sehemu ya uhakika wanayosupply genuine accessories.

Ni bora mara mia ununue engine ya mtumba iliyotumika nje ya nchi kuliko kufanya overhaul.

Accessories nyingi kuanzia piston rings, mpaka cylinder gasket ni fake labda kwa maduka kama Kisangani au master card na bei zao ni kubwa.
 
toyota belta, cc1497 VVTi, valve 16. si ndio mkuu.. iyo mkuu engine inahitaji overhaul kubwa tu stage ya engine kufikia kupiga kelele km usemavyo kuna vitu vinashida mkuu hasa kwe cylinder block, crank shaft kupiti con rod,had kwe piston hali si shwar..xo iyo ela ya kununua engine mkuu bora uende toyota kwanza kawakabidhi iyo gari ikitoka huko utafurah mwenyewe..cz wale jmaa ndo watakuambia wenyewe kuwa hii haifai tena or vp..so fanya ivo nenda Toyota mkuu.
Mkuu Toyota si wanadeal sana na magari ya serikali na taasisi kubwakubwa na actually si wanadeal sana na model mpya mpya! maana Belta ni ya mwaka2006 yaani miaka 11 iliyopita! But if una experience ya mtu binafsi kupeleka gari lake tena gari dogo la miaka ya nyuma please nijuze zaidi mkuu!
 
Mkuu Toyota si wanadeal sana na magari ya serikali na taasisi kubwakubwa na actually si wanadeal sana na model mpya mpya! maana Belta ni ya mwaka2006 yaani miaka 11 iliyopita! But if una experience ya mtu binafsi kupeleka gari lake tena gari dogo la miaka ya nyuma please nijuze zaidi mkuu!
hapana mkuu....japo sio mjuzi wa magari lakini naamini wao watakusaidia iwe hata kukushauri kwenda kwa dealers wao. anzia hapo utakuwa salama.
 
Ukishaonyeshwa engine hakikisha unafungua mfuniko was engine kisha unachungulia pale ndani kama utaona pana ukungu mweuc jua kabisa iyo engine haifai yani imeshatumika sana na kama utakuta n pasaf yani kuna ile rangi ya oil tu namaansha oilsafi basi iyo engine iko vizuri pia unaweza kuchomoa deepstick itakuonyesha kama oil iliyopo nisafi au chafu kama ni chafu yani no nyeuc jua kabsa iyo engine co nzuri pia hakksha wanakupa stater na mfumo wake wa waya waiyo engine
 
Pita Facebook mtafute jamaa anaitwa magoti amir alladin ni fundi wa ukweli sana kwa hapo dar ambae ni mwaminifu kwa sababu nishawahi fanya nae kazi bahati mbaya sina no yake kwa sasa. Anaweza kushauri na hata kutengeneza gari lako kwa gharama nafuu.
 
Mkuu Toyota si wanadeal sana na magari ya serikali na taasisi kubwakubwa na actually si wanadeal sana na model mpya mpya! maana Belta ni ya mwaka2006 yaani miaka 11 iliyopita! But if una experience ya mtu binafsi kupeleka gari lake tena gari dogo la miaka ya nyuma please nijuze zaidi mkuu!
no mkuu magar yote yote mkuu..afu pia kuhusu model ya magar ple model zote pale wanadeal nazo cz wao ndo wanadeal na usambazaji wa spear parts pia.ht km itakosekana kwa mda huu inaagizwa pia..
so jipange tu mkuu pko vizur afu engine ikitoka pale ni mpya haitakusumbua tena .. xo bfore ya kupeleka fanya contact nao..watafute Google..toyota tanzania utapata info zote hdi namba ya cm utawapigia,. na sio lazm upeleke gar lote peleka engine km engine pia nakubalika baada ya kuifanyia service wanaitest ple kila kitu..afu we unapewa ukafunge tu kwe gar yko..
 
Back
Top Bottom