Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pampers gani umetumia? Nunua mafuta ya mgando Vaseline mpake kwenye hivyo vipele atapona. Akiendelea mpeleke hospital.
Habari za kazi,
naomba ushauri wenu juu la tatizo alilonalo mwanangu. nilikuwa namvalisha pampers lakini sasa zieanza kumtoa vipele. nimeacha kumvalisha pampers kw sasa, ni dawa gani ambayo naweza kutumia ili vipele vile vikauke!!!!
Diapers sio nzuri sana kuwavalisha watoto,zinaleta UTI na vipele kwa baadhi ya watoto,cha msingi mnunulie nepi zile za kufunga na pini ndio uwe unamvalisha kwa sana.
Habari za kazi,
naomba ushauri wenu juu la tatizo alilonalo mwanangu. nilikuwa namvalisha pampers lakini sasa zieanza kumtoa vipele. nimeacha kumvalisha pampers kw sasa, ni dawa gani ambayo naweza kutumia ili vipele vile vikauke!!!!
na bado aliendelea kuvaa pampers?Nilitumia hii kwa mwanangu ilimfaa sana
na bado aliendelea kuvaa pampers?
Habari za kazi,
naomba ushauri wenu juu la tatizo alilonalo mwanangu. nilikuwa namvalisha pampers lakini sasa zieanza kumtoa vipele. nimeacha kumvalisha pampers kw sasa, ni dawa gani ambayo naweza kutumia ili vipele vile vikauke!!!!
wavalisheni nepi watoto wawapo nyumbani, na hizo pampers mnapotoka mbali na nyumbani tena sio kwa muda mrefu, hizo zina joto + bakteria, wazungu wameshatuharibia mama zetu.
Habari za kazi,
naomba ushauri wenu juu la tatizo alilonalo mwanangu. nilikuwa namvalisha pampers lakini sasa zieanza kumtoa vipele. nimeacha kumvalisha pampers kw sasa, ni dawa gani ambayo naweza kutumia ili vipele vile vikauke!!!!