nisaidieni wana JF

asante, jana nitoa thread ya shukran naona imehamishiwa sijui jukwaa la wazee. Its almost half done, tunamsubiri mume wangu arudi tu.

Nice to hear that!!
Tunakuombea kwa Mungu akupe ujasiri wa kuyashinda hayo yote kama ulivyodhamiria..
 
Msamehe amejifunza tayari mbona wadada wengi tu wanawasaamehe vijana baada ya kutendwa sana tu?Angalia,chunguza kama kabadilika msamehe tu tuliagizwa tusamehe saba mara sabini ndugu yangu
 
Gaga wadada ni warahisi sana kusamehe sio kama wanaume. Huyo kama tayari yuko kwenye uhusiano mwingine atamuumiza bure huyo mdada mwingine.
 
Samehe 2 mara 1. Kwasababu kashajua kosa lake we msamehe tu atajirekebisha.
Huyo amedanganyika tu kidogo..
 

Kimbia usiangalie nyuma! Ndo zake huyo,,, hata mimi alinifanya hivyohivyo.........kwangu nishamtimua,,,,
 

Ubarikiwe.
 
anakufanya ATM huyo,hajarudishwa mapenzi bali kapigika.
 
Dah, labda ni mimi tu au..lakini sijawahi ku-imagine kumlipia demu ada ya shule au kitu chochote cha dizaini hiyo. Ukifanya mambo kama hayo mambo yakienda kombo ndio inakuaga kama hivi. Cha kufanya tafuta kitu cha nguvu achana na huyo sunguramatope.
 
"imeandikwa mke mwema mtu hupewa na Bwana bali fedha na dhahabu hupewa na babaye" kwa upande wangu huyo si mke mwema!!
 
Dah, labda ni mimi tu au..lakini sijawahi ku-imagine kumlipia demu ada ya shule au kitu chochote cha dizaini hiyo. Ukifanya mambo kama hayo mambo yakienda kombo ndio inakuaga kama hivi. Cha kufanya tafuta kitu cha nguvu achana na huyo sunguramatope.
well said sijui wakaka munaingiaje kwenye mtego huu wa kutusomesha.Mimi nilishawaambia kaka zangu wafanye yote ila sio kumsomesha mwanamke university.
 
...follow your heart, msamehe lakini usirudiane nae.
good point, follow your haert.
but one more point, if you real want to start new chapter, make sure, you close all other pages, acha everything about her, especailly mawasiliano, cause, kama utamasamhe ,( na unapaswa kufayna hiyo), ila ukalegea na kuwa na mwasiliana ya hapa na pale, friend i'm telling you ( u seem to still love her) atakuteka, na kukurudihsa nyuma.

check out.
God bless you
 
well said sijui wakaka munaingiaje kwenye mtego huu wa kutusomesha.Mimi nilishawaambia kaka zangu wafanye yote ila sio kumsomesha mwanamke university.

Kumsomesha mtu ambaye una uhakika naye sio kitu kibaya..mathalan mke au mchumbako anayeelekeaelekea, maana kwa namna moja au nyingine unakua una uhakika na unapowekeza bi mkubwa.
 
well said sijui wakaka munaingiaje kwenye mtego huu wa kutusomesha.Mimi nilishawaambia kaka zangu wafanye yote ila sio kumsomesha mwanamke university.

Jamani si wanawaendeleza watarajiwa wao!!Ndivyo wanavyoamini anyway..mpako mambo yanapogeuka ndo wanajua walikua mtaji tu na faida haiwahusu!
 
Jamani si wanawaendeleza watarajiwa wao!!Ndivyo wanavyoamini anyway..mpako mambo yanapogeuka ndo wanajua walikua mtaji tu na faida haiwahusu!
haaah haaah we Lizy lol
 
kama ulifanikiwa kumuacha na kumsahau shukuru mungu kaka mana kumuacha umpendae hata kama hujamlipia chochote ni kazi nguvu yenye maumivu, nakushauri muepuke tu ili ubaki na aman moyoni.
 
Mpigie mahesabu ya gharama yote uliyotoa kumsomesha na mara apatapo kazi aanze kurejesha kidogo kidogo kwa kumkata ktk mshahara wake.Vinginevyo utakuwa umeliwa.Nanyi wanaume wengine mnapenda kuingia kichwa kichwa unaingia migharama yote hivyo kwani uko peke yako au uko akilini mwa m dada.Wajifanya unatupa hela wakati labda ndugu zako hata chumvi hawana.any way umepata funzo
 
duuuh ananikumbusha wimbo wa 20% tamaa mbaya... Mkuu jiweke pembeni bana ya nini malumbano? Muulize anahitaji kuwa na wewe au anahitaji msaada amalizie masomo yake.. Hilo la kuwa na wewe sikushauri hata kidogo, hilo ni dege lisiloliwa ila kama uko njema endelea kumsapoti amalize masomo yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…