nisaidieni wana JF


Duh. Utalipwa kwa Mungu...
 
,....na kamwe siwezi kumuamini tena...[/QUOTE]

Nahisi tayari ulikuwa uamuzi hata kabla ya kuomba ushauri hapa, kwa hivyo ushauri wowote utakaopewa kinyume na msimamo wako hautakubadilisha uweze kumwamini. Lakini ningekuwa mimi ninasamehe tunaanza upya. Mpe fursa ya pili.
 
Msamehe kama unampenda amejifunza huyo,kuliko utafute mwingine aje aanze visa vipya
 

Mpendwa, ni vizuri kusameheana lakini kuwe na nia ya dhati ya muomba msamaha ya kujutia lile kosa lake. Na nafikiri kishamsamehe ndo maana kaleta maada hapa. Issue kwenye kurudiana; Je, huyo dada anarudi kwa jamaa kwa sababu kule kapigika au kwa sababu anampenda tu na si kwamba anataka kufill gap? Ni kitu gani kilimfanya asimpende na leo ndo anampenda? Mwisho wa yote jamaa ndo anamjua uyo x-wake na si ajabu tayari anamsimamo wake,lakini mkuu, take a right decision at a right time.
My take msamehe mara moja, lakini tafakari sana kabla haujarudiana naye ili usijelia tena, maana kama ukirudiana na kulizwa tena hata waliokupa pole watakucheka.
 
Kama unampenda kwa dhati msamehe ili mwendeleze uhusiano wenu,,,ila bado nasisitiza kama unampenda kwa dhati ksb siku zote unayempenda kwa dhati ahesabiwi makosa.....ila bado uamuzi ni wako,,,fuata moyo wako unataka kuamua nini???
 
waungwana! nawashukuruni sana kwa mawazo na hekima zenu,naamini ya kuwa tayari nishapata suluhisho toka kwenu,natumai Mungu atanoiongoza,asanteni sana.
 
pole saana kaka.muombe mungu akupe aliye wa kwako.ili usilizwe tena.
 
mwambie we ni mzaz wake so akae 2 atapata mume mwema ila msamehe ili aweze fanikiwa si unajua tena man what goes around comes around - justin timber
 
Pole sana, yaani ana guts na moyo wa chuma...wengine wanafanyiwa visa taratibu lakini huyu wakwako, she doesn't cut corners!

Mpendwa,msamehe lakini usirush kwenye mapenzi, na katika probation period ukipata mwingine ni sawa kabisa...wewe sio second best, u should always come first!
 

Post yako inafanana na post ya Tindikali tittled "Kwa nini wadada wengi wakisaidiwa na kotoka kimaisha wapenzi wao huwasaliti??''. Nadhani majibu yaliyotolewa yanaweza ku-suppliment utakayopata hapa. Au ni wewe mwenyewe umetumia utambulisho tofauti? Kama ni hivyo pole sana inaonekana umepigwa pabaya.

Mambo ya vyuoni ndivyo yalivyo watu hudanganyana ikifika karibu na kumaliza chuo basi mtu humwagwa, nimeshuhudia hata kwa wake za watu, tofauti ni kwamba wakimaliza wanarudi kwa waume zao, tofauti na huyo amemwaga mchuzi kabla sasa anajuta!

Any way, nakushauri huyo demu achana nae kabisa, endelea kumsaidia kibinadamu kama ukitaka ili akamilishe masomo yake na upate fadhila kwa Mwenyezi Mungu ambaye huzidisha pale palipopunguka kwa mja wake (Bila kujali dini).

Chondechonde achana nae huyo, kuna msemo usemao "never marry a running woman, you will never know when she will start to run again."
 
Hapo bolded panasema yote
 
Nakubaliana na ushauri wa Mzeelapa... Huyo msichana hakupendi na inaonekana ni kiruka njia, hakiona huku hapafai anageuka pengine alikuona unafaa mwanzoni na baadae akakuacha na LEO anajifanya anakugeukia na kukukumbuka, si mwanamke wa kuoa mana hata kuw na mapenz ya dhati kwako,ingawa we ulikuw nayo hapo mwanzo..PIA moyo konde na usimsikilize tenaaa
 

Achana nae huyo atakusumbua sana mbeleni na hata kukukimbia na atakutia aibu.

Alikudharau sababu inaonekana tangu unamsomesha alikuwa anakutumia na alikuwa anajua ukilipa hiyo ya mwisho atakuacha

Mwache aende akafunzwe na dunia, Mungu hatokutuma ulitoa kwa roho yako.

Mungu atakupa mtu atakae kufurahisha maishani na sio mwenye tamaa
 
people mi nikijana ninaesoma elim ya chuo kikuu first year BA in economics naomba ushauri right time ya kua namchumba ambae atakua my wife ni upi? Bz mambo ninayo yaona chuo yana nitisha nakuamua kumpenda Yesu pekeake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…