<br />Its over hapo..<br />
Ameshapata the better one.........<br />
So just accept it gracefully
<br />
<br />
so painfull budy
<br />not at all....<br />
Labda ulipaswa kujifunza how women think kabla<br />
hujaanza ku deal nao.....<br />
<br />
But nikupe tips moja....usipende kuwapigia pigia simu saana..<br />
Weka mazingira ya wao kukupigia wewe simu.....na sio wewe kutwa kupiga
<br />
<br />
the boss! Nimependa sana ushauri wako. Tena sana, i just had a married intention, and was really obsesed with her. Nahisi nimechanganyikiwa hata sijui naandika nini.
<br />mkuu hilo ndo sababu<br />
sio kila mwanamke anajua kupendwa kukoje<br />
wengine wanataka uwe ngangari hivi,usionyeshe hisia sana<br />
usijisahau.....<br />
So cha kufanya tafuta mwingine wa haraka wa kuzugia kwanza<br />
wa kukupa kampani...huku unatafakari...itasaidia....<br />
Halafu jipange upya...<br />
Anza kujipenda mwenyewe zaidi...
the boss,ukimpenda mtu,unapenda uwe unaongea nae mara kwa mara,inaweza ikawa ni kero fulani,ila kwa kuwa upo so in love hilo kero unakuwa hulioninot at all....
Labda ulipaswa kujifunza how women think kabla
hujaanza ku deal nao.....
But nikupe tips moja....usipende kuwapigia pigia simu saana..
Weka mazingira ya wao kukupigia wewe simu.....na sio wewe kutwa kupiga