Mallata Jr.
JF-Expert Member
- Feb 24, 2014
- 461
- 392
Kila toleo jipya la simu anataka nami sina noma namnunulia na juzi juzi kaja anataka laptop ili amalizie kazi zake za chuo kwa muda muafaka nami niaona ni jambo jema nikamnunulia.
Wiki chache zilizopita nikasafiri na kwenda Mbeya ili niweze kumsalimia mpenzi wangu kwa suprize na kwa kuwa mie nina rafiki yangu aishie huko na huwa nafahamu anakoishi nikaenda moja kwa moja kwa rafki bila naye kumwambia.
Kufika geto kwa jamaa naona ile laptop iko pale na jamaa ukitani kapamba picha za mpenzi wangu na kama haitoshi simu anayoitumia ni ile mpenzi aliyosema amaeibiwa kwani nakumbuka kava lake niliweka lenye picha ya mchezaji wa MAN U.
Nkiwa nazidi kupepesa macho naona na baadhi ya nguo za yeye ziko pale.Sikuongea kitu na kwenda hotelini na siku ya pili kusafiri kurudi dar, Hapa nimechanganyikiwa na sijui nini nifanyeje na wao wamekuwa wakinipigia simu kusema yaishe.
Naombeni msaada wa nini cha kufanya marafiki.
Wiki chache zilizopita nikasafiri na kwenda Mbeya ili niweze kumsalimia mpenzi wangu kwa suprize na kwa kuwa mie nina rafiki yangu aishie huko na huwa nafahamu anakoishi nikaenda moja kwa moja kwa rafki bila naye kumwambia.
Kufika geto kwa jamaa naona ile laptop iko pale na jamaa ukitani kapamba picha za mpenzi wangu na kama haitoshi simu anayoitumia ni ile mpenzi aliyosema amaeibiwa kwani nakumbuka kava lake niliweka lenye picha ya mchezaji wa MAN U.
Nkiwa nazidi kupepesa macho naona na baadhi ya nguo za yeye ziko pale.Sikuongea kitu na kwenda hotelini na siku ya pili kusafiri kurudi dar, Hapa nimechanganyikiwa na sijui nini nifanyeje na wao wamekuwa wakinipigia simu kusema yaishe.
Naombeni msaada wa nini cha kufanya marafiki.