Kuna watu wameimba kwaya kwa kwa kukopi kila kitu kutoka katika huu wimbo, je wamepata uhalali wa kufanya hivyo? Au ndio kibongo bongo mazoea?
Natumia cm nikakaa kwenye pc nitauweka huo wimbo hapa, au kama kuna mtu anao aweke
Kuna watu wameimba kwaya kwa kwa kukopi kila kitu kutoka katika huu wimbo, je wamepata uhalali wa kufanya hivyo? Au ndio kibongo bongo mazoea?
Natumia cm nikakaa kwenye pc nitauweka huo wimbo hapa, au kama kuna mtu anao aweke