Hata sijui baby daddy. Naona alitaka kuniprovoke ila akakuta mtu mwenyewe sieBaby Mama, huyu Wax katokea wapi tena? Maana ghafla tu kaanza kukuandama....
Kwaiyo tunafanyaje[emoji3][emoji3][emoji23][emoji23]Asante sana kwa upendo wako
T, mambo???
Mkuu Vp tena? Mbona nakuheshimu Sana mkuu tatizo ni nn Lakin??Baby Mama, huyu Wax katokea wapi tena? Maana ghafla tu kaanza kukuandama....
Tell em hii ni Capitalist world no blahblah.Pm yangu mbona iko wazi kabisa. Nikipata client wa maana nauza yanini niifiche ikaliwe na nyenyere bure
Sent using Jamii Forums mobile app
T??haha nan T sasa jaman