Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,486
- 51,156
Natabiri kama umeolewa wewe na mumeo hamna akili sawa, either umeolewa na bodaboda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani unateseka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natabiri kama umeolewa wewe na mumeo hamna akili sawa, either umeolewa na bodaboda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba mimi na wewe tuonaneWanawake wa jf nyie ndio hamnaga mirejesho eeh, maana kila siku naona kaka zenu wanavyowanyumbua lakini nyie kimyaaaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani unateseka?
Me naonana na wadada angalau watakua na cha kunipa kama nikiwaomba.
Kama una tabia za kuomba, bora tusionane tu....Me naonana na wadada angalau watakua na cha kunipa kama nikiwaomba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama una tabia za kuomba, bora tusionane tu....
Ushaonesha makucha mapema hivi??
Kwa mfumo huo, nyuzi hazikawii kuletwa humu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lol,Kama una tabia za kuomba, bora tusionane tu....
Ushaonesha makucha mapema hivi??
Kwa mfumo huo, nyuzi hazikawii kuletwa humu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole....Mwanzo nlikuwa naamini wanawake walioko JF ni big brains, smart ones. Nikajiaminisha kwamba hapa ndo mahali pazuri pa kupatia mchumba.
Sikuwahi kuandika uzi wa kutafuta mchumba, but nimewafuata wale wanaotafuta kwenye PM zao sana. Nikaja kubahatika kumpata mdada mmoja ambaye niliona atanifaa kwani tulikuwa tunaendana kwa % kubwa plus tunatoka mkoa mmoja.
Tulianza mahusiano vizuri kabsa ambayo yalidumu kwa kipindi cha mwaka mmoja. Lakini mateso aliyokuja kunipa sitokaa niyasahau kamwe maishani mwangu. Mateso aliyonipa yule mwanamke yalikuw makubwa mnoo kwani yaligusa kila nyanja ya maisha yangu mpaka kazi yangu. Kwa funzo alilonipa yule mwanamke sidhan km kuna mwanamke atanipa shida tenaa maishan mwangu.
All in all namtakia maisha mema na Mungu ambariki.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Wanawake wa jf nyie ndio hamnaga mirejesho eeh, maana kila siku naona kaka zenu wanavyowanyumbua lakini nyie kimyaaaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha kabisa....huu uzi leo wanaume wote leo ni boraaa..hawapo desperate,hawana shida kbs na maisha yao ya ndoa[emoji23][emoji23][emoji23].omamaaa
Demiss nipe taarifa zake ndo anaongoza kwa threads malavidavi