Niseme Ukweli. Katika kutafuta mchumba humu mitandaoni nlikutana na watu wa ajabu sana

Mkuu umenifungua upeo aisee nilikuwa sijui kabisa kama humu ni madada ushubwada.. duh kuna baadhi nilikuwa nawakheshimu sana humu MMU ila kwa sasa Kwendrah!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kipi kilichokufanya ufanye huo utafiti kuhusu wanawake wa humu jf? Je ulidhani ni alliens? Au papuchi zao ziko mgongoni? Au wanatoka sayari ya mars? Kwanini ulihisi hawawezi kuwa ma mapungufu kwa maana ya uwezo tofauti wa kufikiri? Sifa ya kuwa mwanamke bora jamii forums ni ipi? Kutoingia MMU kama afanyavyo mkeo?kama ulikuwa na muda wa aproach na wanawake vilaza inakuwaje wewe usiwe kilaza? Kabla ya utafiti ulizooom neno " (jamii" ) forums? Jamii forums inahusu watu gani?

Mimi sijakuelewa aisee!! .@Gudume

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…