Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Hey babe...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngabu kwangu mimi ni kama kuku wa mganga haliwi huyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahaaa tatizo kabahili .just imagine katoka kwa trump hata ka flash ka GB 1 haleti jomoni khaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] una uchizi ujue
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] una uchizi ujue
Sent using Jamii Forums mobile app
Compliment. Kwamba kwa tulivyo hatuwezi kulana kama ambavyo kuku wa mganga haliwiHmm...hilo sijui ni dongo....sijui ni compliment....
Hata sijui yaani....
Ahahaaa tatizo kabahili .just imagine katoka kwa trump hata ka flash ka GB 1 haleti jomoni khaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Poleee itakua hukuagiza wewe. Mimi zawadi zangu alinileteaAhahaaa tatizo kabahili .just imagine katoka kwa trump hata ka flash ka GB 1 haleti jomoni khaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe yeye unampiga mazawadi eeh.sawa bnaMimi bahili?
Mzigua akikubaliana na hilo navunja urafiki naye.....
Unapenda kukopa wanawakee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nishamkatalia tayari [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Mambo yoote sio ubahiliMimi bahili?
Mzigua akikubaliana na hilo navunja urafiki naye.....
Eeeh. Na tukienda kwa Resty nitakuja na raba yangu aliyoniletea zawadi
Na huwez kumuelewaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]labda uzime dataKipi kilichokufanya ufanye huo utafiti kuhusu wanawake wa humu jf? Je ulidhani ni alliens? Au papuchi zao ziko mgongoni? Au wanatoka sayari ya mars? Kwanini ulihisi hawawezi kuwa ma mapungufu kwa maana ya uwezo tofauti wa kufikiri? Sifa ya kuwa mwanamke bora jamii forums ni ipi? Kutoingia MMU kama afanyavyo mkeo?kama ulikuwa na muda wa aproach na wanawake vilaza inakuwaje wewe usiwe kilaza? Kabla ya utafiti ulizooom neno " (jamii" ) forums? Jamii forums inahusu watu gani?
Mimi sijakuelewa aisee!! .@Gudume
Sent using Jamii Forums mobile app
Loh hongera sana.Eeeh. Na tukienda kwa Resty nitakuja na raba yangu aliyoniletea zawadi
Sent using Jamii Forums mobile app