Nataka nikushike mkono twende.. Au sitakiwi hata kutoa taarifaNa yeye anatafuta mzoga abebe. Si washarahisishiwa kazi ya kwamba huku hutongozi unashika mkono tu twendeee
Sent using Jamii Forums mobile app
For sure...!Ushauri kwa Mhenga huo,
Mwanamke aliyejiunga JF anajifunza vitu vingi sanaa, vizuri na viovu....
Ni kweli kwamba, Kutumia muda mwingi kwenye Social media ni kiashiria cha kukosa majukumu (unaweza ukawa na kazi lkn usiwe na majukumu ya kutekeleza)......
Kutafuta mchumba kwenye Social media, itokee tu by chance na sio kuwa serious kuwa unatafuta mchumba....
Wazee, wanawake mnaoishi nao huko mtaani ndio hawahawa waliopo kwenye Social media.
Ni kweli kwa asilimia kubwa uandishi wa mtu waweza mtafsiri alivyoo.....
Mimi sitaki kujua habari za sura na maumbile ya mtu, mana hizo ni mtazamo wa mtu.
Nazungumzia tabiaa, uki messup hapa ndo umeharibu kila kituu.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] kweli nimeamini jamiiforum sitakiwi kuwa serious sana.. Maana ntapewa majibu nnayo yahitaji halaf nafungwa motor
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Brother hukuwa unatafuta mchumba ulikuwa unawachora dada za watu sheeenz! Next time usiweke threads za kiboya
Sent from my FIG-LX1 using JamiiForums mobile app
Kama vile ushawahi mdanga. Mimi kuna vitu mtu akisemaga nacheka na namuona punguani maana anachokiandika kakiweka kwenye ubongo wake na hakitakaa kitokee kati yetu sasa bora ajifurahishe kwa picha alojiwekea kwenye ubongo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nasemaje nifundishe kurudisha sms tsapSema kwa post hii JF wafute tu Jukwaa La Love Connect halina maana tena. Kumbe kuna watu wanaandika huku wanatafuta wapenzi kumbe lengo lao wanataka kutuchora waje watuanike madhaifu yetu huku.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aisee kama unaheshimu privacy ya mtu huwezi kuangaika nayo ukiona hivyo inauma sana ndo maaana unajoshongodoa kuandika kitu cha mtuuuKama vile ushawahi mdanga. Mimi kuna vitu mtu akisemaga nacheka na namuona punguani maana anachokiandika kakiweka kwenye ubongo wake na hakitakaa kitokee kati yetu sasa bora ajifurahishe kwa picha alojiwekea kwenye ubongo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana kuwa unavyotaka kuwa usiwe mnafki. Huku watu wanafki sana. Kuna mwanaume anajifanya mstaarabu sijui hatongozi lakini kuwa anashinda pm kwa wadada. Au mwingine anakua na ID mbili moja anajifanya mtu wa busara ila nyingine ni takataka ambayo hata jalala haiitaki kwa uchafu wake.[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] kweli nimeamini jamiiforum sitakiwi kuwa serious sana.. Maana ntapewa majibu nnayo yahitaji halaf nafungwa motor
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio Mara zote mkuu. Pesa ikianza kunakua sio kushikana mkono tena
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] zimeenda na maji hizo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nasemaje nifundishe kurudisha sms tsap
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana kuwa unavyotaka kuwa usiwe mnafki. Huku watu wanafki sana. Kuna mwanaume anajifanya mstaarabu sijui hatongozi lakini kuwa anashinda pm kwa wadada. Au mwingine anakua na ID mbili moja anajifanya mtu wa busara ila nyingine ni takataka ambayo hata jalala haiitaki kwa uchafu wake.
Ukiishi huku kuwa wewe. Usifuate mkumbo. Usiwe mnafki au kujiona wewe ndio msafi sana. Kutwa kunyooshea wengine vidole. Kusema sema wanawake wanadanga wakati ndo unashinda pm zao. Na sisi tunawachoraga tu mnavyojishaua huku ila pm mnajitumisha mimeseji
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi mniruhusu hata piemu niziachie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jokes[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] zimeenda na maji hizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Achia tu kwani ban kitu gani bwana.Basi mniruhusu hata piemu niziachie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jokes
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio Mara zote mkuu. Pesa ikianza kunakua sio kushikana mkono tena
Sent using Jamii Forums mobile app