Duuh....huku hamna mwanamke anaevuta fegi bhana na vikuku juu plus tatoo.
Usiseme wanasingizia iongelee nafsi yako. Sio kwa kuwa wewe hufanyi basi hamna anaefanyaHahahahah toka nijiunge sijawahi kwenda pm kutongoza aiseee sinaga kujiamin kias hichooo khaaa mengine wanasingizia[emoji291][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Utajua bhn sisi wanawake tumetokea india ndo tupo jamiiforum [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa unaweza ukajua umepata bonge la bwana ila ukishaliwa unajua ulibeba kiazi mbatata
Weeee bora nikawadange waheshimiwa rainbow kuliko kudanga bwana jfWeka mambo hapa we mtoto.. Halaf nakusubiri Mitaa ya destination hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiseme wanasingizia iongelee nafsi yako. Sio kwa kuwa wewe hufanyi basi hamna anaefanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseeee alafu yeye atajiona mtakatifu shweewnzSasa unaweza ukajua umepata bonge la bwana ila ukishaliwa unajua ulibeba kiazi mbatata
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba gudume katuponza?? Ila mi sijasema uje udange.. Nimsamalia mwema tu nnaejua unakiu na bata. Na Si kwamba nnashida Sana na papuchi yako [emoji2][emoji2]Weeee bora nikawadange waheshimiwa rainbow kuliko kudanga bwana jf
Sent using Jamii Forums mobile app
Best kwa uzuri ule nilio kuona nao ukienda pm kwa mwanaume si unajipa mkosii best π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Hahahahah toka nijiunge sijawahi kwenda pm kutongoza aiseee sinaga kujiamin kias hichooo khaaa mengine wanasingizia[emoji291][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ah upo mji kasoro...wanasemaje huko?Shwari kabisa....Moroooooo
Weeee bora nikawadange waheshimiwa rainbow kuliko kudanga bwana jf
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi niwaulize, hivi ukiwa maskin means huna kipato cha kukutosha, inawezekana kupenda au kuvutiwa na mwanaume maskini?????