Niseme Ukweli. Katika kutafuta mchumba humu mitandaoni nlikutana na watu wa ajabu sana

[emoji39][emoji39]asantee mamy hawa ndugu zetu wana ukoloni mamboleo

Sent using Jamii Forums mobile app
🀣🀣🀣Hao wanawake walio enda pm kwa huyo Gubudume wanapita kama radi kwenye huu uzi wavumilie tu sio kwa ubaya, ila hili liwe funzo kwa sisi wanawake tuache kujipendekeza kama Ridhiki ipo ipo tu sio kwa kudandia mikahaba ya kiume iliyopo mitandaoni kinafiki.
 

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
[emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2]kabisaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulichosema ni Ukweli mtupu

Wengine tukisemaga, Tunaoonekana Wapuuzi.

Ila leo Umeandika Maneno kuntu na hio ndo hali halisi.


Maajabu, kuna waliokwazika..watakuita "PUGI"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].haoooooooooooooo mtumbuliwa
 
Mhhh
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…