Niseme Ukweli. Katika kutafuta mchumba humu mitandaoni nlikutana na watu wa ajabu sana

Niseme Ukweli. Katika kutafuta mchumba humu mitandaoni nlikutana na watu wa ajabu sana

Nakuja nakunywa serengeti lite 20 unakuja kutangaza demu una tumbo au kontena[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwamba gudume katuponza?? Ila mi sijasema uje udange.. Nimsamalia mwema tu nnaejua unakiu na bata. Na Si kwamba nnashida Sana na papuchi yako [emoji2][emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ule wimbo wa WANAWAKE WAZURI WAZURI WAMEOLEWA. YAMEBAKI MANUNGAYEMBE YANAHANGAIKA NANI ANAO?

nautafuta sana huo wimbo. Na wanaume ambao mpaka sasa hawajaoa wanaitwa MADUNGA YEMBE. Yaani hawa wana YADUNGA MANUNGA YEMBE.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na sisi watoto wa primary tunacoment wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daaaaah ngoja niwe mpenz mtazamaji tu ...binafsi nishakutana na wadada wa jf zaidi ya 3 tulienda sawa tu.haya maisha tu ukipewa kula ukinyimwa chuna.... Maisha yenyewe mafupi kuweka uzi na kuweka mapungufu ya watu sio kama umewasaidia naona kama umefanya dharau vile mkuu ni vema ungewapa ushauri huko huko vile vile huwezi badilisha maisha ya mtu alivyojiwekea..hapa naona unajikweza tu mkuu.kwa upande wangu naishi kutokana na mazingira huku najua ninachofanya.ukiwa mjuaji unajua kinachofuatia???? Kila mtu angeweka kinachoendelea huko pm sijui hata ww kama ungesalimika!!!
Mungu ibariki jamii forum

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila mtu atapata anachotafuta, Mimi nmepata mwanamke mzuri na anajielewa sana tu humu ndani.. Nilimuanzishia na uzi ni kweli sio mchangiaji hata kukutana nae ilikua kama bahati tuu. Nampenda sana japo najua hawezi ona hata hii comment
 
Jf ni 99% text based social media...

You can tell what kind of people would use the platform...

1. People who like to show others how smart they are.

2. People who prefer to hide their physical expression. (For any reason whatsoever)

3. Socially awkward people and losers.

If you are here, you gotta be from atleast one of the above.

Note: by how I wrote this, I bet you can tell where I belong.

Sent using Jamii Forums mobile app
I bet you're trying to show us how smart you are.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]best na ule mkomee wangu kuna member anasemaga nina manyonyo kama makende ya ng'ombe

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake huwa hatuna kawaida ya kusifiana ukiona mwanamke mwenzio ana kusifia jua ana maanisha, Demiss mamy wew ni mrembo achana nae aliye andika hivyo tunao kujua hatukosei 😍😍🤣🤣
 
Back
Top Bottom