Nisha adai hana mimba!!

Mimba katoa huyo kuna picha anakitumbo na kitovu kikubwa tu .....naalishaweka hadi kAvideo kamtoto kanacheza tumboni....kaamua kuichoropoa nakama ni movie mbona hajataja washiriki?.......
Anasema eti hiyo muvi alicheza pekeyake akisaidiwa na aliyemtundika mimba venue ilikuwa manzese Tupendane gesti hausi
 
Bongo movie kama Danguro..poleni ray na Jb.
 
Ngachoka.
Kwahiyo kaamua kututhibitishia kuwa katoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…