Mhhhh! Binamu kweli hiyo ni aibu.
Aisee sipati picha ilikuwaje!
Basi kuna uwezekano yule petit man nae akawa mchicha mwimba ndio maana mkewe haishi kulalamika.
Haha jamaa kama wameweka fake basi sio wazima wanataka attention tu kwa kina dada. Bahati mbaya ni kama hii ya kikeke
Peti sijawah kusikia akifanya ujinga, labda awe anafanya kwa siri, ila martin jiji zima linamjua
Umbea muhimu binamu
Sasa mbona hujanipa ule umbea na wewe? Mwenzio ndio napiga umbea wa mwisho mwisho hivyoooo...
Ramadan hutoniona huku!
😎😎
Hawa majamaa wanazingua ukiangalia hayo madude yametoka usawa wa kitovuni na si katikati ya miguu
Haha jamaa kama wameweka fake basi sio wazima wanataka attention tu kwa kina dada. Bahati mbaya ni kama hii ya kikeke
Sasa mbona hujanipa ule umbea na wewe? Mwenzio ndio napiga umbea wa mwisho mwisho hivyoooo...
Ramadan hutoniona huku!
😎😎
Yani madushe yao yameota chini ya vitovu kah!
Nitakumiss mchizi wangu....
Na ya nisha?
Waislamu na wakristo na wenyewe wanafki tu , ina maana kuna miezi ya kufanya maovu na miezi ya kuwa wema? Mxiuuu kama muovu muovu tu ata ufanyaje, umeamua kuwa mwema fanya mema siku zote sio mpaka sijui kwarezima na ramadhan, mi naona unafki tu,