warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
- Thread starter
- #21
Mhhhh! Binamu kweli hiyo ni aibu.
Aisee sipati picha ilikuwaje!
Basi kuna uwezekano yule petit man nae akawa mchicha mwimba ndio maana mkewe haishi kulalamika.
Peti sijawah kusikia akifanya ujinga, labda awe anafanya kwa siri, ila martin jiji zima linamjua