mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,682
- 10,801
Sasa mbona hujanipa ule umbea na wewe? Mwenzio ndio napiga umbea wa mwisho mwisho hivyoooo...
Ramadan hutoniona huku!
😎😎
Usisahau kutuaga kwa kutumention best
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mbona hujanipa ule umbea na wewe? Mwenzio ndio napiga umbea wa mwisho mwisho hivyoooo...
Ramadan hutoniona huku!
😎😎
Bado najiuliza inakuwaje mwanaume mzima kabisa na mwenye akili timamu kupiga picha ya vile? Kwanini wana jaribu kuwashawishi nini watu? Hivi mwanaume unaye jiamini kwanini unasumbuka kuwaaminisha watu?
Muda mwingine kukaa kimya kunaweza kukawa ni kuzuri zaidi, sasa hawa wameleta haya mambo yao, sasa ndio tunelewa ni watu wa aina gani
Aisee kwahyo Ramadhani hatutakuona tuta kumiss mno aisee.
Kwani umbea dhambi jaman?
Nitakumiss mchizi wangu....
Usisahau kutuaga kwa kutumention best
Waislamu na wakristo na wenyewe wanafki tu , ina maana kuna miezi ya kufanya maovu na miezi ya kuwa wema? Mxiuuu kama muovu muovu tu ata ufanyaje, umeamua kuwa mwema fanya mema siku zote sio mpaka sijui kwarezima na ramadhan, mi naona unafki tu,
Hahahahaaa wala sina masharti kihivyo ila pale tu ndio sikutaka kusema.
Mchicha mwiba maana yake ni gay.
Mxiiiiiiu zako binamu.Hutaki wenzio tukatubu? Maana wewe ile kwaresma tulikua wote huku tunapiga umbea mwanzo mwisho, mimi mwenzio hutoniona.
Acha nikayapunguze....
Ninavyokujua wewe unavyopenda umbea sijui kama utaweza kuvumilia, tena nitakuwa natoa maumbea hot yale yani hakunaga
Hayo yatakuwa ma dildo tu, na sijui hivo vitu wamevipata wapi maana maumbile yote yanaonekana kufanana, hadi ya nisha, mmh hawa mastaa kazi wanayo, bado kupost tu makalio yao na wenyewe, maana pesa imekua ngumu siku izi, watu wanatafuta njia mbadala