Nisha Bebe alia tena

Inakuwaje unajikwaa sehemu mara mbili? Hatujifunzi, tunasahau au vichwa vibovu? kosa la aina moja likutokee marambili?
 
Siku hizi ni fashion kwa mama wenye mimba kupiga mapicha ya nusu uchi kuonyesha matumbo yao..... Hiki kitendo sijakuelewa mpaka Leo kuwa maana yake ni nini hasa..!!?
 
Hyo speed ya 350 alio nayo alitegemeq atafka salama
 
Hiyo mimba ni ya Kingwendu bhana asichanganye madesa hapa huyo dada shemeji yake Pembe na bwana Senga......
 
Bongo muvi kwa kiki yaani wako radhi hata kufanya lolote ilimrad waremain on top.

Me najiuliza huyo mtoto baadae atakuwa anajua kuwa mama alibakwa ndo yeye...
Mtoto wa Bao la kubakwa lakin yote kasababisha mama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…