Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,061
Msanii wa Bongo Mobie Nisha amedai ana mimba inayotokana na kubakwa.
Anadai alibakwa kwa sababu mpenzi wake huyo alimrubuni kisha kumuingilia kwa nguvu, anaongezea hilo linaonekana ni jambo la kawaida kwa waafrika lakini kwa watu waliostaarabika ni kubakwa.
Anadai alibakwa kwa sababu mpenzi wake huyo alimrubuni kisha kumuingilia kwa nguvu, anaongezea hilo linaonekana ni jambo la kawaida kwa waafrika lakini kwa watu waliostaarabika ni kubakwa.