marashi ya pwani
Senior Member
- Sep 30, 2024
- 120
- 132
Kama kawaida yangu na mambo yangu ya kukata maji sio ya mtoni wala bahalini
Kuna kahudumu flani siku moja nilikakuta kananyanyasika na mzozo mwingi maeneo yake ya Kazi
Katika maneno ya shombo nililo kalili ni moja (BAADA YA KUHONGWA WEWE WEWE UNAHONGA MPAKA ULIPE DEN LAKO NDIO UWE HURU)
Nikatumia fulsa sikutaka kujua nani anaemuhonga
Nikamuliza deni akaniambia elfu 60 nikampa kalipe
Akashukuru sana na kuniambia kuwa Mimi ni mtu muhimu sana kwake
Akamaliza kabisa na kuniambia wakati wowote nikiwa na shida nae nimwambie
Kwa maana toka aanze kufanya kazi hapo hajawai KUHONGWA
Kimbembe Leo siku Ile nilijikakamua kujionyesha Mimi sio mtu wakuendekeza mademu
Nimekuja bar kwake kwa confidence ya kutosha
Kwa kujua mtoto hageuzi picha linaanza mtoto nimekuta
Yuko bwax sikustuka sana nilijua kawaida nimetuma sms nyingi za ujio wangu
Hakuzijibu nilijipa moyo huenda sababu ya gambe
Simu yake namuona nae anapokea simu tu si sms hasomi
Nina mjomba angu (mpwa wangu) anasifa za umarioo
Wakati Mimi najipa moyo wenge likiisha nitaongea naye
Mjomba anaingia dada kakaa miguuni na mjomba kumuliza Kuna mtu yeyote kamsumbua
Akajibu kwenye simu hapana sijajua SMS kuna shost angu nimempa nikichukua utajua nani ananisumbua
Tunaheshimiana sana na mjomba Sasa Kuna mwenye kautalaam Cha kufuta sms
Zilizotumwa kwenye nyingine pasipo kuishika
Kwa maana sitaki mjomba angu asizione sms nilikuwa natumia haka kahudumu
Kuna kahudumu flani siku moja nilikakuta kananyanyasika na mzozo mwingi maeneo yake ya Kazi
Katika maneno ya shombo nililo kalili ni moja (BAADA YA KUHONGWA WEWE WEWE UNAHONGA MPAKA ULIPE DEN LAKO NDIO UWE HURU)
Nikatumia fulsa sikutaka kujua nani anaemuhonga
Nikamuliza deni akaniambia elfu 60 nikampa kalipe
Akashukuru sana na kuniambia kuwa Mimi ni mtu muhimu sana kwake
Akamaliza kabisa na kuniambia wakati wowote nikiwa na shida nae nimwambie
Kwa maana toka aanze kufanya kazi hapo hajawai KUHONGWA
Kimbembe Leo siku Ile nilijikakamua kujionyesha Mimi sio mtu wakuendekeza mademu
Nimekuja bar kwake kwa confidence ya kutosha
Kwa kujua mtoto hageuzi picha linaanza mtoto nimekuta
Yuko bwax sikustuka sana nilijua kawaida nimetuma sms nyingi za ujio wangu
Hakuzijibu nilijipa moyo huenda sababu ya gambe
Simu yake namuona nae anapokea simu tu si sms hasomi
Nina mjomba angu (mpwa wangu) anasifa za umarioo
Wakati Mimi najipa moyo wenge likiisha nitaongea naye
Mjomba anaingia dada kakaa miguuni na mjomba kumuliza Kuna mtu yeyote kamsumbua
Akajibu kwenye simu hapana sijajua SMS kuna shost angu nimempa nikichukua utajua nani ananisumbua
Tunaheshimiana sana na mjomba Sasa Kuna mwenye kautalaam Cha kufuta sms
Zilizotumwa kwenye nyingine pasipo kuishika
Kwa maana sitaki mjomba angu asizione sms nilikuwa natumia haka kahudumu