Nishaligalambua, watalaam msaada katika hili

Nishaligalambua, watalaam msaada katika hili

marashi ya pwani

Senior Member
Joined
Sep 30, 2024
Posts
120
Reaction score
132
Kama kawaida yangu na mambo yangu ya kukata maji sio ya mtoni wala bahalini

Kuna kahudumu flani siku moja nilikakuta kananyanyasika na mzozo mwingi maeneo yake ya Kazi

Katika maneno ya shombo nililo kalili ni moja (BAADA YA KUHONGWA WEWE WEWE UNAHONGA MPAKA ULIPE DEN LAKO NDIO UWE HURU)

Nikatumia fulsa sikutaka kujua nani anaemuhonga

Nikamuliza deni akaniambia elfu 60 nikampa kalipe

Akashukuru sana na kuniambia kuwa Mimi ni mtu muhimu sana kwake

Akamaliza kabisa na kuniambia wakati wowote nikiwa na shida nae nimwambie

Kwa maana toka aanze kufanya kazi hapo hajawai KUHONGWA

Kimbembe Leo siku Ile nilijikakamua kujionyesha Mimi sio mtu wakuendekeza mademu

Nimekuja bar kwake kwa confidence ya kutosha

Kwa kujua mtoto hageuzi picha linaanza mtoto nimekuta

Yuko bwax sikustuka sana nilijua kawaida nimetuma sms nyingi za ujio wangu

Hakuzijibu nilijipa moyo huenda sababu ya gambe

Simu yake namuona nae anapokea simu tu si sms hasomi

Nina mjomba angu (mpwa wangu) anasifa za umarioo

Wakati Mimi najipa moyo wenge likiisha nitaongea naye

Mjomba anaingia dada kakaa miguuni na mjomba kumuliza Kuna mtu yeyote kamsumbua

Akajibu kwenye simu hapana sijajua SMS kuna shost angu nimempa nikichukua utajua nani ananisumbua

Tunaheshimiana sana na mjomba Sasa Kuna mwenye kautalaam Cha kufuta sms

Zilizotumwa kwenye nyingine pasipo kuishika
Kwa maana sitaki mjomba angu asizione sms nilikuwa natumia haka kahudumu
 
Kama kawaida yangu na mambo yangu ya kukata maji sio ya mtoni wala bahalini

Kuna kahudumu flani siku moja nilikakuta kananyanyasika na mzozo mwingi maeneo yake ya Kazi


Katika maneno ya shombo nililo kalili ni moja
(BAADA YA KUHONGWA WEWE WEWE UNAHONGA MPAKA ULIPE DEN LAKO NDIO UWE HURU)

Nikatumia fulsa sikutaka kujua nani anaemuhonga

Nikamuliza deni akaniambia elfu 60 nikampa kalipe

Akashukuru sana na kuniambia kuwa Mimi ni mtu muhimu sana kwake

aKamaliza kabisa na kuniambia wakati wowote nikiwa na shida nae nimwambie

Kwa maana toka aanze kufanya kazi hapo hajawai KUHONGWA

Kimbembe Leo siku Ile nilijikakamua kujionyesha Mimi sio mtu wakuendekeza mademu

Nimekuja bar kwake kwa confidence ya kutosha

Kwa kujua mtoto hageuzi picha linaanza mtoto nimekuta

Yuko bwax sikustuka sana nilijua kawaida nimetuma sms nyingi za ujio wangu
Hakuzijibu nilijipa moyo huenda sababu ya gambe

Simu yake namuona nae anapokea simu tu si sms hasomi

Nina mjomba angu (mpwa wangu) anasifa za umarioo

Wakati Mimi najipa moyo wenge likiisha nitaongea nae

Mjomba anaingia dada kakaa miguuni na mjomba kumuliza Kuna mtu yeyote kamsumbua

Akajibu kwenye simu hapana sijajua sms Kuna shost angu nimempa nikichukua utajua nani ananisumbua
Umelewa
Bisha
 
Kama kawaida yangu na mambo yangu ya kukata maji sio ya mtoni wala bahalini

Kuna kahudumu flani siku moja nilikakuta kananyanyasika na mzozo mwingi maeneo yake ya Kazi


Katika maneno ya shombo nililo kalili ni moja
(BAADA YA KUHONGWA WEWE WEWE UNAHONGA MPAKA ULIPE DEN LAKO NDIO UWE HURU)

Nikatumia fulsa sikutaka kujua nani anaemuhonga

Nikamuliza deni akaniambia elfu 60 nikampa kalipe

Akashukuru sana na kuniambia kuwa Mimi ni mtu muhimu sana kwake

aKamaliza kabisa na kuniambia wakati wowote nikiwa na shida nae nimwambie

Kwa maana toka aanze kufanya kazi hapo hajawai KUHONGWA

Kimbembe Leo siku Ile nilijikakamua kujionyesha Mimi sio mtu wakuendekeza mademu

Nimekuja bar kwake kwa confidence ya kutosha

Kwa kujua mtoto hageuzi picha linaanza mtoto nimekuta

Yuko bwax sikustuka sana nilijua kawaida nimetuma sms nyingi za ujio wangu
Hakuzijibu nilijipa moyo huenda sababu ya gambe

Simu yake namuona nae anapokea simu tu si sms hasomi

Nina mjomba angu (mpwa wangu) anasifa za umarioo

Wakati Mimi najipa moyo wenge likiisha nitaongea nae

Mjomba anaingia dada kakaa miguuni na mjomba kumuliza Kuna mtu yeyote kamsumbua

Akajibu kwenye simu hapana sijajua sms Kuna shost angu nimempa nikichukua utajua nani ananisumbua
Usiwe unaandika mambo ukiwa umelewa.
 
Kama kawaida yangu na mambo yangu ya kukata maji sio ya mtoni wala bahalini

Kuna kahudumu flani siku moja nilikakuta kananyanyasika na mzozo mwingi maeneo yake ya Kazi

Katika maneno ya shombo nililo kalili ni moja (BAADA YA KUHONGWA WEWE WEWE UNAHONGA MPAKA ULIPE DEN LAKO NDIO UWE HURU)

Nikatumia fulsa sikutaka kujua nani anaemuhonga

Nikamuliza deni akaniambia elfu 60 nikampa kalipe

Akashukuru sana na kuniambia kuwa Mimi ni mtu muhimu sana kwake

Akamaliza kabisa na kuniambia wakati wowote nikiwa na shida nae nimwambie

Kwa maana toka aanze kufanya kazi hapo hajawai KUHONGWA

Kimbembe Leo siku Ile nilijikakamua kujionyesha Mimi sio mtu wakuendekeza mademu

Nimekuja bar kwake kwa confidence ya kutosha

Kwa kujua mtoto hageuzi picha linaanza mtoto nimekuta

Yuko bwax sikustuka sana nilijua kawaida nimetuma sms nyingi za ujio wangu

Hakuzijibu nilijipa moyo huenda sababu ya gambe

Simu yake namuona nae anapokea simu tu si sms hasomi

Nina mjomba angu (mpwa wangu) anasifa za umarioo

Wakati Mimi najipa moyo wenge likiisha nitaongea naye

Mjomba anaingia dada kakaa miguuni na mjomba kumuliza Kuna mtu yeyote kamsumbua

Akajibu kwenye simu hapana sijajua SMS kuna shost angu nimempa nikichukua utajua nani ananisumbua

Tunaheshimiana sana na mjomba Sasa Kuna mwenye kautalaam Cha kufuta sms

Zilizotumwa kwenye nyingine pasipo kuishika
Kwa maana sitaki mjomba angu asizione sms nilikuwa natumia haka kahudumu
Mhh!
 
Mtoa mada ni wale domo zege na wenye aibu na anatumia gia ya kumlesha mtu kwanza.
Acha kupenda mipira iliyokufa, jaribu ku dribble
Wewe ni dhaifu sana
😂😂😂 Hicho unachozungumzia kipaji kingine
Mimi Sina Mimi mzee wakujiongeza tu
 
Aisee, hzi weekend watu ndo mnalewa hvi hadi mnashindwa kuandika kitu kikaeleweka?
 
Dem unampa pesa Road? Dem anapewa pesa ghetto au lodge/hotel,,, ! Baada ya kuliwa! Tatzo la kumiss vikao vya wanaume ndo hili! Nahisi umeandika thread ukiwa chwii, pengine hujui ulichoandika
 
Back
Top Bottom