Nishaligalambua, watalaam msaada katika hili

60K zimeyeyuka hapo.

Hiyo hela ungemtumia Mama.yako ungebarikiwa sanq.
 
Wenzako hela tunaficha kwenye soksi na tunahesabu vizibo vya bia tusizidishiwe bill na hatutoi hela bila KUGALAMBUA
 
Wenzako hela tunaficha kwenye soksi na tunahesabu vizibo vya bia tusizidishiwe bill na hatutoi hela bila KUGALAMBUA
Nami nitakuwa nikifanya hivyo

Whatsapp ukiandika sms kama uliemtumia hajafungua unaweza kufuta

Je hizi sms za kawaida ukimtumia mtu kama hajafungua unaweza futa

Huo ndio msaada niliokuwa nikiutaka lakina jombaa kaziona sms

Na Mimi Kila ninacho uliza najibu sikumbuki

Kwa nikasikia kalewa uyo achana nayo
 
Mkuu UMELEWA BISHA HILO
 
Unaandika mbiombio inaonekana unaa Akili nyingi Sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…