Nishati Safi ya Kupikia: Wiki ya Huduma kwa Wateja TotalEnergies Yamuunga Mkono Rais Samia, Kusambaza Gesi ya Majumbani Kila Kona Hadi Vijijini!

Nishati Safi ya Kupikia: Wiki ya Huduma kwa Wateja TotalEnergies Yamuunga Mkono Rais Samia, Kusambaza Gesi ya Majumbani Kila Kona Hadi Vijijini!

TOTALENERGIES YAMUUNGA MKONO RAIS SAMIA - NISHATI SAFI YA KUPIKIA, YAANZA KUSAMBAZA GESI YA KUPIKIA.

Dar es salaam, tarehe 4 Oktoba 2024 – Kampuni ya Mafuta ya TotalEnergies Marketing Tanzania Limited, imeamua kumuunga mkono Rais Samia, kwenye kampeni ya nishati bora ya kupikia, kwa kuanza kusambaza gesi ya kupikia, katika vituo vyake vyote zaidi ya 100 nchini, ili kufanikisha ndoto ya Rais Samia, kufikia mwaka 2030, Watanzania wote wawe wanatumia nishati safi ya kupikia.

Uamuzi huo, umetangazwa leo na Mkurugenzi wa Sheria na Mahusiano wa Total, Getrude Mpangile, wakati wa siku ya pili ya wiki ya huduma kwa wateja iliyoanza jana kwa uzinduzi wa kituo cha mafuta cha TotalEnergies Magomeni Makanya, ile njia ya Tandale Uzuri.

Mpangile amesema, kufuatia kazi kubwa na nzuri inayofanywa na Rais Samia, kuhamasisha matumizi ya nishati salama ya kupikia, kwa vile TotalEnergies, ndio kampuni inayoongoza Tanzania kwa idadi ya vituo vya mafuta, TotalEnergies, imeamua kumuunga mkono Rais Samia kwenye suala la nishati bora ya kupikia, hivyo sasa itasambaza gesi ya majumbani, katika kampeni iitwayo “Jiko Bomba, Pishi Pambe”.

Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Mkurugenzi wa Mtandao wa Vituo vya TotalEnergy, Abdul-Rahim Siddique, amezungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu alisema; "Ni siku ya furaha kusherehekea wateja wetu, washirika na hatua muhimu za kampuni katika kuhudumia jamii ya Tanzania kwa bidhaa na huduma za ubora wa juu kutoka TotalEnergies na kwa mdau wetu Mohamed Binzoo ambaye ni muuzaji na mmiliki wa TotalEnergies Makanya Service Station.

Meneja Masoko wa TotalEnergies, Caroline Kwakwezi, amesema Kaulimbiu ya Wiki ya Wateja wa Afrika ya 2024 inavyoendelea “Kukusaidia kila mahali, kila wakati, katika bara zima,” hakuna njia bora ya kuionyesha kuliko kusambaza bidhaa na huduma zetu kwa wakazi wa Makanya Tandale na jumuiya jirani. Hii ndiyo taswira ya matarajio yetu ya kuifikia kila Tanzania bidhaa za ubora wa juu za Excellium, Vilainishi, Kadi, Gesi, Taa za Jua na Huduma kutoka TotalEnergies”,

Katika hotuba yake, mmiliki wa TotalEnergies Makanya Service Station, Thabit Bizoo alitoa shukrani zake kwa kampuni ya TotalEnergies na wateja wao waaminifu kwa mafanikio ya kituo cha huduma cha Makanya, “Nawashukuru sana TotalEnergies kwa msaada wao tangu kujengwa. ya kituo kwa uendeshaji wake wa sasa ambao umetuwezesha kuwa hapa leo katika kituo hiki kizuri.

Shukrani nyingi pia ziwaendee wateja wetu wa Makanya wanaoamini chapa ya TotalEnergies ambayo imewawezesha kutuamini na kuturuhusu kuwahudumia. Tunakukaribisha kwa moyo mkunjufu ili uwe na matumizi bora zaidi katika Kituo cha Huduma cha TotalEnergies Makanya na ushiriki maoni yako nasi ili tuweze kukuhudumia vyema zaidi.”

Kituo cha TotalEnergies Makanya hutoa nishati bora, urahisi na huduma ya kipekee kwa jamii. Kwa kuzingatia kuridhika kwa wateja na ubora, tunalenga kuwa kivutio kinachopendelewa kwa wateja wanaohitaji mafuta, gesi, vilainishi, taa za jua na vifaa vya huduma kwa wakazi wa Makanya na jumuiya jirani zao. End.

Kituo cha TotalEnergies Makanya hutoa nishati bora, urahisi na huduma ya kipekee kwa jamii. Kwa kuzingatia kuridhika kwa wateja na ubora, tunalenga kuwa kivutio kinachopendelewa kwa wateja wanaohitaji mafuta, gesi, vilainishi, taa za jua na vifaa vya huduma kwa wakazi wa Makanya na jumuiya jirani zao.
mafuta na vilainishi,.



Mkurugenzi wa Mtandao wa Vituo vya mafuta TotalEnergies Abdulrahim Siddique pamoja na Mkurugenzi wa Kituo cha Mafuta cha TotalEnergies cha Makanya Thabit Amer wakikata utepe kuashiria uzinduzi wa kituo cha mafuta cha TotalEnergies cha Makanya ikiwa ni maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja


Mkurugenzi wa Mtandao wa Vituo vya mafuta TotalEnergies Abdul Rahim Siddique akizungumza kuhusu namna Kampuni ya TotalEnergies ilivyijipanga kutoa huduma katika kituo hicho wakati wa uzinduzi wa Kituo cha mafuta cha TotalEnergies kilichopo Makanya, Magomeni jijini Dar es Salaam ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya Huduma kwa Wateja.

Mkurugenzi wa Kituo cha Mafuta cha TotalEnergies cha Makanya Thabit Amer akizungumza kuhusu uwekezaji uliofanywa pamoja na nmna watakavyotoa huduma katika kituo hicho wakati wa uzinduzi wa Kituo cha mafuta cha TotalEnergies kilichopo Makanya, Magomeni jijini Dar es Salaam ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya Huduma kwa Wateja.


Meneja Masoko wa TotalEnergies, Caroline Kakwezi akizungumza kuhusu Kampuni ya TotalEnergies inavyoendelea kufungua njia kwa makampuni mbalimbali kuweza kufungu vituo vya mafuta kwa chapa ya TotalEnergies ili kuweza kutoa huduma iliyobora kwa wananchi wakati wa uzinduzi wa Kituo cha mafuta cha TotalEnergies kilichopo Makanya, Magomeni jijini Dar es Salaam ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya Huduma kwa Wateja.




Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya TotalEnergies pamoja na wadau mbalimbali wa kampuni hiyo wakifuatilia uzinduzi wa Kituo cha mafuta cha TotalEnergies kilichopo Makanya, Magomeni jijini Dar es Salaam



Picha ya pamoja

Paskali
Pamoja na mazuri ya Total energies, wapokee simu yao ya huduma kwa wateja. Hata upige mchana kutwa hawapokei.

Pia, kadi za mafuta kila kituo Dar hakuna. Wanarushiana mpira tu, nenda kituo hiki...nao wanasema nenda kile.
 
Kuna member humu,alitoa ushauri mzuri sana kuhusu nishati Safi ya kupikia na katika Uzi huo,alitoa ushauri huu,kwa sababu umeme umesha fika vijiji vingi kupitia wakala wa umeme vijiji(REA) hivyo hakuna sababu ya serikali kutumia gharama za kusambaza gesi,bali gesi hiyo itumike kwenye kuzalisha umeme wenye unafuu wa bei,hivyo wananchi watahamasika kutumia umeme kama nishati mbadala.

Hii nchi tuna shida kubwa sana kwa wapanga sera zetu.
UKWELI ni huo kwamba wapanga sera hawamo kwenye kuona unafuu wa bei ya umeme kushuka ndipo mahubiri ya nishati SAFI yawezekane. Vipato wanavyolipana ni VIKUBWA mno vimewapofusha hawavai viatu vya umaskini wa sisi wapiga kura wao !
 
Yaani lile andiko lilikuwa nzuri sana ni kiasi hawa viongozi wacopi na paste tu ila sasa ndio kwanza wapo bize na kampeni za makampuni ya gas ambayo gharama zake wengi wa wananchi hawazimudu kiuhalisia.
bei ziko detarmined na cotrolleled prices kama bei ya mafuta, umeme, maji na gesi, lakini bei
Ya mitungi na bei ya majiko
Is determined na supply and demand, serikali ikiamua
Seriously kutaka Watanzania tuachane
Na kuni na mkaa , inapaswa kuondoa kodi zote kwenye mnyororo wa thamani wa gesi, kuanzia majiko, mitungi hadi gesi yenyewe, na hata ikibidi kutoa ruzuku ya gesi kwa kaya masikini, wanapewa jiko bure, mtungi bure na gesi ya ruzuku ili gesi ndio iwe the cheapest option.
P
 
TOTALENERGIES YAMUUNGA MKONO RAIS SAMIA - NISHATI SAFI YA KUPIKIA, YAANZA KUSAMBAZA GESI YA KUPIKIA.

Dar es salaam, tarehe 4 Oktoba 2024 – Kampuni ya Mafuta ya TotalEnergies Marketing Tanzania Limited, imeamua kumuunga mkono Rais Samia, kwenye kampeni ya nishati bora ya kupikia, kwa kuanza kusambaza gesi ya kupikia, katika vituo vyake vyote zaidi ya 100 nchini, ili kufanikisha ndoto ya Rais Samia, kufikia mwaka 2030, Watanzania wote wawe wanatumia nishati safi ya kupikia.

Uamuzi huo, umetangazwa leo na Mkurugenzi wa Sheria na Mahusiano wa Total, Getrude Mpangile, wakati wa siku ya pili ya wiki ya huduma kwa wateja iliyoanza jana kwa uzinduzi wa kituo cha mafuta cha TotalEnergies Magomeni Makanya, ile njia ya Tandale Uzuri.

Mpangile amesema, kufuatia kazi kubwa na nzuri inayofanywa na Rais Samia, kuhamasisha matumizi ya nishati salama ya kupikia, kwa vile TotalEnergies, ndio kampuni inayoongoza Tanzania kwa idadi ya vituo vya mafuta, TotalEnergies, imeamua kumuunga mkono Rais Samia kwenye suala la nishati bora ya kupikia, hivyo sasa itasambaza gesi ya majumbani, katika kampeni iitwayo “Jiko Bomba, Pishi Pambe”.

Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Mkurugenzi wa Mtandao wa Vituo vya TotalEnergy, Abdul-Rahim Siddique, amezungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu alisema; "Ni siku ya furaha kusherehekea wateja wetu, washirika na hatua muhimu za kampuni katika kuhudumia jamii ya Tanzania kwa bidhaa na huduma za ubora wa juu kutoka TotalEnergies na kwa mdau wetu Mohamed Binzoo ambaye ni muuzaji na mmiliki wa TotalEnergies Makanya Service Station.

Meneja Masoko wa TotalEnergies, Caroline Kwakwezi, amesema Kaulimbiu ya Wiki ya Wateja wa Afrika ya 2024 inavyoendelea “Kukusaidia kila mahali, kila wakati, katika bara zima,” hakuna njia bora ya kuionyesha kuliko kusambaza bidhaa na huduma zetu kwa wakazi wa Makanya Tandale na jumuiya jirani. Hii ndiyo taswira ya matarajio yetu ya kuifikia kila Tanzania bidhaa za ubora wa juu za Excellium, Vilainishi, Kadi, Gesi, Taa za Jua na Huduma kutoka TotalEnergies”,

Katika hotuba yake, mmiliki wa TotalEnergies Makanya Service Station, Thabit Bizoo alitoa shukrani zake kwa kampuni ya TotalEnergies na wateja wao waaminifu kwa mafanikio ya kituo cha huduma cha Makanya, “Nawashukuru sana TotalEnergies kwa msaada wao tangu kujengwa. ya kituo kwa uendeshaji wake wa sasa ambao umetuwezesha kuwa hapa leo katika kituo hiki kizuri.

Shukrani nyingi pia ziwaendee wateja wetu wa Makanya wanaoamini chapa ya TotalEnergies ambayo imewawezesha kutuamini na kuturuhusu kuwahudumia. Tunakukaribisha kwa moyo mkunjufu ili uwe na matumizi bora zaidi katika Kituo cha Huduma cha TotalEnergies Makanya na ushiriki maoni yako nasi ili tuweze kukuhudumia vyema zaidi.”

Kituo cha TotalEnergies Makanya hutoa nishati bora, urahisi na huduma ya kipekee kwa jamii. Kwa kuzingatia kuridhika kwa wateja na ubora, tunalenga kuwa kivutio kinachopendelewa kwa wateja wanaohitaji mafuta, gesi, vilainishi, taa za jua na vifaa vya huduma kwa wakazi wa Makanya na jumuiya jirani zao. End.

Kituo cha TotalEnergies Makanya hutoa nishati bora, urahisi na huduma ya kipekee kwa jamii. Kwa kuzingatia kuridhika kwa wateja na ubora, tunalenga kuwa kivutio kinachopendelewa kwa wateja wanaohitaji mafuta, gesi, vilainishi, taa za jua na vifaa vya huduma kwa wakazi wa Makanya na jumuiya jirani zao.
mafuta na vilainishi,.



Mkurugenzi wa Mtandao wa Vituo vya mafuta TotalEnergies Abdulrahim Siddique pamoja na Mkurugenzi wa Kituo cha Mafuta cha TotalEnergies cha Makanya Thabit Amer wakikata utepe kuashiria uzinduzi wa kituo cha mafuta cha TotalEnergies cha Makanya ikiwa ni maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja


Mkurugenzi wa Mtandao wa Vituo vya mafuta TotalEnergies Abdul Rahim Siddique akizungumza kuhusu namna Kampuni ya TotalEnergies ilivyijipanga kutoa huduma katika kituo hicho wakati wa uzinduzi wa Kituo cha mafuta cha TotalEnergies kilichopo Makanya, Magomeni jijini Dar es Salaam ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya Huduma kwa Wateja.

Mkurugenzi wa Kituo cha Mafuta cha TotalEnergies cha Makanya Thabit Amer akizungumza kuhusu uwekezaji uliofanywa pamoja na nmna watakavyotoa huduma katika kituo hicho wakati wa uzinduzi wa Kituo cha mafuta cha TotalEnergies kilichopo Makanya, Magomeni jijini Dar es Salaam ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya Huduma kwa Wateja.


Meneja Masoko wa TotalEnergies, Caroline Kakwezi akizungumza kuhusu Kampuni ya TotalEnergies inavyoendelea kufungua njia kwa makampuni mbalimbali kuweza kufungu vituo vya mafuta kwa chapa ya TotalEnergies ili kuweza kutoa huduma iliyobora kwa wananchi wakati wa uzinduzi wa Kituo cha mafuta cha TotalEnergies kilichopo Makanya, Magomeni jijini Dar es Salaam ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya Huduma kwa Wateja.




Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya TotalEnergies pamoja na wadau mbalimbali wa kampuni hiyo wakifuatilia uzinduzi wa Kituo cha mafuta cha TotalEnergies kilichopo Makanya, Magomeni jijini Dar es Salaam



Picha ya pamoja

Paskali
Namuona classmate wangu kwakwezi wote watoto wa forodhani pry school 😄
Ehe turudi kwenye mada,hizo mitungi wanasambazq dezo au

Ova
 
Anawadanganya tu hao Total energy mi nafahamu gesi zinazosambazwa uku bush ni za Rostam Aziz yaani Taifa Gas
Ni kweli kwasababu hawana mshindani, sasa baba la baba la vituo vya mafuta TotalEnergies kaingia gesi bwerere sio Taifa gas pekee!.
na tena zinawaendea wanachama WA CCM ambao sio wahusika na kuwaacha wanahostahili
Wahusika wanaostahili kutumia gesi ni wakina nani na hao wasiostahili ni kinanani na kwanini wengine wastahili wengine wastahili?.
nimeshuhudia mara kibao vikifanyika vikao vya CCM wilaya baada ya vikao wanagawiana mitungi ya gesi midogo ya Taifa Gesi tena ata mitungi mi 5 mi5 yaani Bora alivyotolewa Januari maana ngoja niishie hapo
Taifa gas ni kampuni binafsi iko huru kuwagawia gesi bure watu watu inaowataka. Hakuna ubaya wowote CCM kugawiwa mitungi ya gesi na wapenzi wa CCM, wapenzi wa Chadema pia wako huru kuwagawia gesi wanachama wao.
P
 
Namuona classmate wangu kwakwezi wote watoto wa forodhani pry school 😄
Ehe turudi kwenye mada,hizo mitungi wanasambazq dezo au

Ova
Duh...!, kumbe ni classmate wako!, kiukweli hii ni pisi kali halafu imesimama wima, always smiling hadi mtu unakosa pa kuanzia hivyo unabaki ... kwa macho tuu!, kumbe ni mtoto wa kishua wa Forodhani, secondari alienda wapi?.
P
 
bei ziko detarmined na cotrolleled prices kama bei ya mafuta, umeme, maji na gesi, lakini bei
Ya mitungi na bei ya majiko
Is determined na supply and demand, serikali ikiamua
Seriously kutaka Watanzania tuachane
Na kuni na mkaa , inapaswa kuondoa kodi zote kwenye mnyororo wa thamani wa gesi, kuanzia majiko, mitungi hadi gesi yenyewe, na hata ikibidi kutoa ruzuku ya gesi kwa kaya masikini, wanapewa jiko bure, mtungi bure na gesi ya ruzuku ili gesi ndio iwe the cheapest option.
P
Kweli kabisa mkuu.
 
Sijaona sehemu iliyoandikwa "Punguzo la bei ya gesi".

Kama unahamasisha watu watumie nishati safi huku bei yake ikiwa juu, hiyo ni Kazi bure.
 
TOTALENERGIES YAMUUNGA MKONO RAIS SAMIA - NISHATI SAFI YA KUPIKIA, YAANZA KUSAMBAZA GESI YA KUPIKIA.

Dar es salaam, tarehe 4 Oktoba 2024 – Kampuni ya Mafuta ya TotalEnergies Marketing Tanzania Limited, imeamua kumuunga mkono Rais Samia, kwenye kampeni ya nishati bora ya kupikia, kwa kuanza kusambaza gesi ya kupikia, katika vituo vyake vyote zaidi ya 100 nchini, ili kufanikisha ndoto ya Rais Samia, kufikia mwaka 2030, Watanzania wote wawe wanatumia nishati safi ya kupikia.

Uamuzi huo, umetangazwa leo na Mkurugenzi wa Sheria na Mahusiano wa Total, Getrude Mpangile, wakati wa siku ya pili ya wiki ya huduma kwa wateja iliyoanza jana kwa uzinduzi wa kituo cha mafuta cha TotalEnergies Magomeni Makanya, ile njia ya Tandale Uzuri.

Mpangile amesema, kufuatia kazi kubwa na nzuri inayofanywa na Rais Samia, kuhamasisha matumizi ya nishati salama ya kupikia, kwa vile TotalEnergies, ndio kampuni inayoongoza Tanzania kwa idadi ya vituo vya mafuta, TotalEnergies, imeamua kumuunga mkono Rais Samia kwenye suala la nishati bora ya kupikia, hivyo sasa itasambaza gesi ya majumbani, katika kampeni iitwayo “Jiko Bomba, Pishi Pambe”.

Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Mkurugenzi wa Mtandao wa Vituo vya TotalEnergy, Abdul-Rahim Siddique, amezungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu alisema; "Ni siku ya furaha kusherehekea wateja wetu, washirika na hatua muhimu za kampuni katika kuhudumia jamii ya Tanzania kwa bidhaa na huduma za ubora wa juu kutoka TotalEnergies na kwa mdau wetu Mohamed Binzoo ambaye ni muuzaji na mmiliki wa TotalEnergies Makanya Service Station.

Meneja Masoko wa TotalEnergies, Caroline Kwakwezi, amesema Kaulimbiu ya Wiki ya Wateja wa Afrika ya 2024 inavyoendelea “Kukusaidia kila mahali, kila wakati, katika bara zima,” hakuna njia bora ya kuionyesha kuliko kusambaza bidhaa na huduma zetu kwa wakazi wa Makanya Tandale na jumuiya jirani. Hii ndiyo taswira ya matarajio yetu ya kuifikia kila Tanzania bidhaa za ubora wa juu za Excellium, Vilainishi, Kadi, Gesi, Taa za Jua na Huduma kutoka TotalEnergies”,

Katika hotuba yake, mmiliki wa TotalEnergies Makanya Service Station, Thabit Bizoo alitoa shukrani zake kwa kampuni ya TotalEnergies na wateja wao waaminifu kwa mafanikio ya kituo cha huduma cha Makanya, “Nawashukuru sana TotalEnergies kwa msaada wao tangu kujengwa. ya kituo kwa uendeshaji wake wa sasa ambao umetuwezesha kuwa hapa leo katika kituo hiki kizuri.

Shukrani nyingi pia ziwaendee wateja wetu wa Makanya wanaoamini chapa ya TotalEnergies ambayo imewawezesha kutuamini na kuturuhusu kuwahudumia. Tunakukaribisha kwa moyo mkunjufu ili uwe na matumizi bora zaidi katika Kituo cha Huduma cha TotalEnergies Makanya na ushiriki maoni yako nasi ili tuweze kukuhudumia vyema zaidi.”

Kituo cha TotalEnergies Makanya hutoa nishati bora, urahisi na huduma ya kipekee kwa jamii. Kwa kuzingatia kuridhika kwa wateja na ubora, tunalenga kuwa kivutio kinachopendelewa kwa wateja wanaohitaji mafuta, gesi, vilainishi, taa za jua na vifaa vya huduma kwa wakazi wa Makanya na jumuiya jirani zao. End.

Kituo cha TotalEnergies Makanya hutoa nishati bora, urahisi na huduma ya kipekee kwa jamii. Kwa kuzingatia kuridhika kwa wateja na ubora, tunalenga kuwa kivutio kinachopendelewa kwa wateja wanaohitaji mafuta, gesi, vilainishi, taa za jua na vifaa vya huduma kwa wakazi wa Makanya na jumuiya jirani zao.
mafuta na vilainishi,.



Mkurugenzi wa Mtandao wa Vituo vya mafuta TotalEnergies Abdulrahim Siddique pamoja na Mkurugenzi wa Kituo cha Mafuta cha TotalEnergies cha Makanya Thabit Amer wakikata utepe kuashiria uzinduzi wa kituo cha mafuta cha TotalEnergies cha Makanya ikiwa ni maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja


Mkurugenzi wa Mtandao wa Vituo vya mafuta TotalEnergies Abdul Rahim Siddique akizungumza kuhusu namna Kampuni ya TotalEnergies ilivyijipanga kutoa huduma katika kituo hicho wakati wa uzinduzi wa Kituo cha mafuta cha TotalEnergies kilichopo Makanya, Magomeni jijini Dar es Salaam ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya Huduma kwa Wateja.

Mkurugenzi wa Kituo cha Mafuta cha TotalEnergies cha Makanya Thabit Amer akizungumza kuhusu uwekezaji uliofanywa pamoja na nmna watakavyotoa huduma katika kituo hicho wakati wa uzinduzi wa Kituo cha mafuta cha TotalEnergies kilichopo Makanya, Magomeni jijini Dar es Salaam ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya Huduma kwa Wateja.


Meneja Masoko wa TotalEnergies, Caroline Kakwezi akizungumza kuhusu Kampuni ya TotalEnergies inavyoendelea kufungua njia kwa makampuni mbalimbali kuweza kufungu vituo vya mafuta kwa chapa ya TotalEnergies ili kuweza kutoa huduma iliyobora kwa wananchi wakati wa uzinduzi wa Kituo cha mafuta cha TotalEnergies kilichopo Makanya, Magomeni jijini Dar es Salaam ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya Huduma kwa Wateja.




Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya TotalEnergies pamoja na wadau mbalimbali wa kampuni hiyo wakifuatilia uzinduzi wa Kituo cha mafuta cha TotalEnergies kilichopo Makanya, Magomeni jijini Dar es Salaam



Picha ya pamoja

Paskali
Huwa najiuliza kama kweli viongozi wetu huwa wanajua namna ya kutatua matatizo.
Naona kampeni ya kugawa mitungi ya gas toka enzi za january akiwa waziri wa nishati, hii haliwezi kufanya watu watumie nishati mbadara na wala sio suluhisho.
Mtu unampa tungi wakati gas bado ni ghali, gas ikiisha atahifadhi mtungi arudi kwenye mkaa au kuni na mtungi anaweza kuuza kabisa.
Ni sawa mtu masikini umpatie gari yenye kubugia mafuta, na vipuri vyake ni vya ghali lazima baadaye atalipaki arudi kwenye usafiri wake au aliuze tu.
Solution wangekuja na namna ya gharama za gas kuwa chini kiasi kwamba mtu aone kabisa kutumia mkaa ni ghali zaidi kuliko gas. Hata sasa matumizi ya mkaa ni ghali lakini bado kubadilisha gas ni ghali kwa mtu ambaye anaacha kodi ya buku tatu kila siku.
Pia kuna jambo linanishangaza kwa watanzania, hata wale wenye kipato utakuta bado anatumia mkaa na gas kwa pamoja. Sijui ni maoea.
Mimi sina kipato kikubwa, nina familia ya watu sita na hata jiko la mkaa sina. Gas inapikiwa hadi maharage maana mimi naona mkaa ni expensive kuliko gas. Mtungu wa gas mimi hudumu siku 21-30 ule mkubwa kitu ambacho mkaa labda ningetumia wa 3000 kutwa ingezidi gharama za gas.
 
TOTALENERGIES YAMUUNGA MKONO RAIS SAMIA - NISHATI SAFI YA KUPIKIA, YAANZA KUSAMBAZA GESI YA KUPIKIA.

Dar es salaam, tarehe 4 Oktoba 2024 – Kampuni ya Mafuta ya TotalEnergies Marketing Tanzania Limited, imeamua kumuunga mkono Rais Samia, kwenye kampeni ya nishati bora ya kupikia, kwa kuanza kusambaza gesi ya kupikia, katika vituo vyake vyote zaidi ya 100 nchini, ili kufanikisha ndoto ya Rais Samia, kufikia mwaka 2030, Watanzania wote wawe wanatumia nishati safi ya kupikia.

Uamuzi huo, umetangazwa leo na Mkurugenzi wa Sheria na Mahusiano wa Total, Getrude Mpangile, wakati wa siku ya pili ya wiki ya huduma kwa wateja iliyoanza jana kwa uzinduzi wa kituo cha mafuta cha TotalEnergies Magomeni Makanya, ile njia ya Tandale Uzuri.

Mpangile amesema, kufuatia kazi kubwa na nzuri inayofanywa na Rais Samia, kuhamasisha matumizi ya nishati salama ya kupikia, kwa vile TotalEnergies, ndio kampuni inayoongoza Tanzania kwa idadi ya vituo vya mafuta, TotalEnergies, imeamua kumuunga mkono Rais Samia kwenye suala la nishati bora ya kupikia, hivyo sasa itasambaza gesi ya majumbani, katika kampeni iitwayo “Jiko Bomba, Pishi Pambe”.

Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Mkurugenzi wa Mtandao wa Vituo vya TotalEnergy, Abdul-Rahim Siddique, amezungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu alisema; "Ni siku ya furaha kusherehekea wateja wetu, washirika na hatua muhimu za kampuni katika kuhudumia jamii ya Tanzania kwa bidhaa na huduma za ubora wa juu kutoka TotalEnergies na kwa mdau wetu Mohamed Binzoo ambaye ni muuzaji na mmiliki wa TotalEnergies Makanya Service Station.

Meneja Masoko wa TotalEnergies, Caroline Kwakwezi, amesema Kaulimbiu ya Wiki ya Wateja wa Afrika ya 2024 inavyoendelea “Kukusaidia kila mahali, kila wakati, katika bara zima,” hakuna njia bora ya kuionyesha kuliko kusambaza bidhaa na huduma zetu kwa wakazi wa Makanya Tandale na jumuiya jirani. Hii ndiyo taswira ya matarajio yetu ya kuifikia kila Tanzania bidhaa za ubora wa juu za Excellium, Vilainishi, Kadi, Gesi, Taa za Jua na Huduma kutoka TotalEnergies”,

Katika hotuba yake, mmiliki wa TotalEnergies Makanya Service Station, Thabit Bizoo alitoa shukrani zake kwa kampuni ya TotalEnergies na wateja wao waaminifu kwa mafanikio ya kituo cha huduma cha Makanya, “Nawashukuru sana TotalEnergies kwa msaada wao tangu kujengwa. ya kituo kwa uendeshaji wake wa sasa ambao umetuwezesha kuwa hapa leo katika kituo hiki kizuri.

Shukrani nyingi pia ziwaendee wateja wetu wa Makanya wanaoamini chapa ya TotalEnergies ambayo imewawezesha kutuamini na kuturuhusu kuwahudumia. Tunakukaribisha kwa moyo mkunjufu ili uwe na matumizi bora zaidi katika Kituo cha Huduma cha TotalEnergies Makanya na ushiriki maoni yako nasi ili tuweze kukuhudumia vyema zaidi.”

Kituo cha TotalEnergies Makanya hutoa nishati bora, urahisi na huduma ya kipekee kwa jamii. Kwa kuzingatia kuridhika kwa wateja na ubora, tunalenga kuwa kivutio kinachopendelewa kwa wateja wanaohitaji mafuta, gesi, vilainishi, taa za jua na vifaa vya huduma kwa wakazi wa Makanya na jumuiya jirani zao. End.

Kituo cha TotalEnergies Makanya hutoa nishati bora, urahisi na huduma ya kipekee kwa jamii. Kwa kuzingatia kuridhika kwa wateja na ubora, tunalenga kuwa kivutio kinachopendelewa kwa wateja wanaohitaji mafuta, gesi, vilainishi, taa za jua na vifaa vya huduma kwa wakazi wa Makanya na jumuiya jirani zao.
mafuta na vilainishi,.



Mkurugenzi wa Mtandao wa Vituo vya mafuta TotalEnergies Abdulrahim Siddique pamoja na Mkurugenzi wa Kituo cha Mafuta cha TotalEnergies cha Makanya Thabit Amer wakikata utepe kuashiria uzinduzi wa kituo cha mafuta cha TotalEnergies cha Makanya ikiwa ni maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja


Mkurugenzi wa Mtandao wa Vituo vya mafuta TotalEnergies Abdul Rahim Siddique akizungumza kuhusu namna Kampuni ya TotalEnergies ilivyijipanga kutoa huduma katika kituo hicho wakati wa uzinduzi wa Kituo cha mafuta cha TotalEnergies kilichopo Makanya, Magomeni jijini Dar es Salaam ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya Huduma kwa Wateja.

Mkurugenzi wa Kituo cha Mafuta cha TotalEnergies cha Makanya Thabit Amer akizungumza kuhusu uwekezaji uliofanywa pamoja na nmna watakavyotoa huduma katika kituo hicho wakati wa uzinduzi wa Kituo cha mafuta cha TotalEnergies kilichopo Makanya, Magomeni jijini Dar es Salaam ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya Huduma kwa Wateja.


Meneja Masoko wa TotalEnergies, Caroline Kakwezi akizungumza kuhusu Kampuni ya TotalEnergies inavyoendelea kufungua njia kwa makampuni mbalimbali kuweza kufungu vituo vya mafuta kwa chapa ya TotalEnergies ili kuweza kutoa huduma iliyobora kwa wananchi wakati wa uzinduzi wa Kituo cha mafuta cha TotalEnergies kilichopo Makanya, Magomeni jijini Dar es Salaam ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya Huduma kwa Wateja.




Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya TotalEnergies pamoja na wadau mbalimbali wa kampuni hiyo wakifuatilia uzinduzi wa Kituo cha mafuta cha TotalEnergies kilichopo Makanya, Magomeni jijini Dar es Salaam



Picha ya pamoja

Paskali
Hii kampeni ya nishati safi ya kupikia imekaa kibiashara zaidi na ninashaka ya itakakokwenda faida ya mauzo ya gesi, inaelekea kuna chama kinafaidika. Tangu kampeni hii ianze nimekuwa nikijiuliza kama kweli wanayo nia ya dhati watu waondokane na kuni na mkaa kwanini wenzetu wamejikita kwenye mitungi na majiko ya gesi tu? Hivi nishati safi ni gesi tu? Mbona hawasambazi majiko janja ya umeme? Mbona wanapenda kuwataka wafugaji na wanavijiji nao watumie mitungi ya gesi? Hili la wafugaji na wanavijiji kupewa mitungi ya gesi halikubaliki na ndilo linalokazia kuwa mpango wote uko kibiashara zaidi.
Mfugaji na mwanakijiji huko aliko anayo malighafi nyingi sana ya kujitosheleza kupata nishati yake ya gesi kutokana na mifugo aliyonayo bila kuingia gharama. Hapa kwa hawa wafugaji na wakulima sijaona wataalamu wowote wakijitokeza na kuwafundisha jinsi ya kutengeneza nishati hiyo, ambayo hawatakuwepo viongozi wa kupigiwa makofi kwa ukarimu wao wa kuwapa bure mitungi ya gesi.
 
bei ziko detarmined na cotrolleled prices kama bei ya mafuta, umeme, maji na gesi, lakini bei
Ya mitungi na bei ya majiko
Is determined na supply and demand, serikali ikiamua
Seriously kutaka Watanzania tuachane
Na kuni na mkaa , inapaswa kuondoa kodi zote kwenye mnyororo wa thamani wa gesi, kuanzia majiko, mitungi hadi gesi yenyewe, na hata ikibidi kutoa ruzuku ya gesi kwa kaya masikini, wanapewa jiko bure, mtungi bure na gesi ya ruzuku ili gesi ndio iwe the cheapest option.
P
Hapa umeongea ukweli sana mheshimiwa mayala nakuomba tu urudi tena jimbo la kawe safari hii tutakusomea dua nyingi ili upeleke wazo hili
 
Back
Top Bottom