proskaeur
JF-Expert Member
- Mar 8, 2017
- 1,571
- 4,924
Habari za muda huu wakuu
Mimi nataka nianze biashara Fulani ya kutembeza bidhaa mtaani kama machinga, ili kuvutia wateja nikawa nawaza niwe natembea na mzani wa kupimia uzito na mashine ya kupima blood pressure (nimesoma kozi ya Afya),, ninawaza kuwa napima bure bila malipo kwa kila mteja anaenichangia biashara yangu.
Ushauri na mawazo ninayoomba kwenu ni je hili wazo ni zuri na litaweza kunipatia wateja kwa biashara ninayowaza ya kutembeza mtaani, na pia hakuna usumbufu wa kupata kibali kwanza kabla ya kuanza kupima watu mtaani hasa suala la blood pressure, naomba wajuvi mnisaidie.
Nawasilisha
Mimi nataka nianze biashara Fulani ya kutembeza bidhaa mtaani kama machinga, ili kuvutia wateja nikawa nawaza niwe natembea na mzani wa kupimia uzito na mashine ya kupima blood pressure (nimesoma kozi ya Afya),, ninawaza kuwa napima bure bila malipo kwa kila mteja anaenichangia biashara yangu.
Ushauri na mawazo ninayoomba kwenu ni je hili wazo ni zuri na litaweza kunipatia wateja kwa biashara ninayowaza ya kutembeza mtaani, na pia hakuna usumbufu wa kupata kibali kwanza kabla ya kuanza kupima watu mtaani hasa suala la blood pressure, naomba wajuvi mnisaidie.
Nawasilisha