Chungu cha bibi
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 525
- 166
Habari Zenu Wana Jf......
Ni Hivi Basi Zikiwa zimebaki Siku Mbili Kabla Ya deadline Ya Kutoma Maombi Tcu Nlkua Nahitaji Ushauri Wenu Sana,Hasa Waliopo Chuo Au Waliokwishaa Maliza Hii Elimu...Nmemaliza Kidato cha sita mwaka Huu Kwenye PCM Nina CBC yaan 3-11..Oneni kozi Nilizochaguaa Je Niache Hvyo Hvyo Au Ipi Ikae Juu Ya Mwenzake Au Ipi Haipo Hapo Niongeze Kwa Kutumiaa Uzoefu Wako Wa Chuo Cha muhimu Ni Kupata chuo Na kozi Ambayo Ipo Marketable Kwa Marks Zangu....
1:Geomatics-Ardhi
2:Civil-DIT
3:Civil-Ardhi
4-Civil-Udsm
5-Electrical-Udsm
Ushauri Wenu Muhimu Makaka Na Madada Zangu Maana Siku Zimeishaaaa.....KARIBUNI WOTE
Ni Hivi Basi Zikiwa zimebaki Siku Mbili Kabla Ya deadline Ya Kutoma Maombi Tcu Nlkua Nahitaji Ushauri Wenu Sana,Hasa Waliopo Chuo Au Waliokwishaa Maliza Hii Elimu...Nmemaliza Kidato cha sita mwaka Huu Kwenye PCM Nina CBC yaan 3-11..Oneni kozi Nilizochaguaa Je Niache Hvyo Hvyo Au Ipi Ikae Juu Ya Mwenzake Au Ipi Haipo Hapo Niongeze Kwa Kutumiaa Uzoefu Wako Wa Chuo Cha muhimu Ni Kupata chuo Na kozi Ambayo Ipo Marketable Kwa Marks Zangu....
1:Geomatics-Ardhi
2:Civil-DIT
3:Civil-Ardhi
4-Civil-Udsm
5-Electrical-Udsm
Ushauri Wenu Muhimu Makaka Na Madada Zangu Maana Siku Zimeishaaaa.....KARIBUNI WOTE