MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Wakuu natumaini mko wazima.
Leo niko mbele yenu kuomba ushauri kuhusu biashara ya saluni ya kike. Mimi ni kijana wa kiume mjasiriamali na popote penye fursa huwa siogopi kujirushiamo ila najua kidogo mno kuhusu hizi saluni za kike. Ila hapa jirani kuna mdada ambaye anasifika mno kwakipaji chake cha ususi na kaajiriwa saluni iliyoko mtaa wa jirani (Magomeni mapipa). Baada ya kufikiria nikaona kupitia kipaji cha huyo dada na mtaji wa wateja alionao niingie nae ubia kufungua saluni hiyo. Nawakaribisha kunishauri lolote kuhusu biashara hii kabla sijafanya chochote.
Leo niko mbele yenu kuomba ushauri kuhusu biashara ya saluni ya kike. Mimi ni kijana wa kiume mjasiriamali na popote penye fursa huwa siogopi kujirushiamo ila najua kidogo mno kuhusu hizi saluni za kike. Ila hapa jirani kuna mdada ambaye anasifika mno kwakipaji chake cha ususi na kaajiriwa saluni iliyoko mtaa wa jirani (Magomeni mapipa). Baada ya kufikiria nikaona kupitia kipaji cha huyo dada na mtaji wa wateja alionao niingie nae ubia kufungua saluni hiyo. Nawakaribisha kunishauri lolote kuhusu biashara hii kabla sijafanya chochote.