korino
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 1,004
- 666
habari zenu wote humu ndani...mm ni mschna tangu nimeolewa ni mwaka mmoja tu! cjawah kugombana na mume wangu hata cku moja! nawapenda wifi zangu na shemeji zangu pia! jinsi ninavyoishi nao ni kama wadogo zangu kwan wananipenda na hawasiti kujakunitaka ushauri wa mambo mbalimbali! nampenda mama mkwe wangu km mama angu mzazi! tunaishi karibu karibu,,,mwendo wa km dk 10 kufika kwake! mara nyingi nnapenda kumpeleka zawadi ya vitu mbali2 km kuonyesha upendo na kudumisha udugu wetu! hata cku nnapopika chakula adimu huwa nampelekea anakula kwa furaha japo lazima atatia kasoro! lkn nimeshamzoea kwan ni mkorofi sana.
kitu km kunambia mimi mshenzi,cna adabu,najiona mzuri na maneno ya kebehi nimeshazoea kwake kwan maneno hayo hata matusi makubwa anawatukana hadi watoto wake! kwahyo huwa sion shida!
huyu mama alinipenda sana kabla cjaolewa na mwanae! alikuwa anasisitiza niolewe haraka sana kwan mwanae hatopata mwanamke km mm! hatimaye tulifunga ndoa.
maisha yetu kwa ujumla me na mume wangu ni ya kawaida sana! cri zetu tunazijua sisi wenyewe! tumelala njaa tunajua cc tukila vizuri tunajua cc!
chakushangaza mama mkwe ananisema sana kuwa mm jeuri sana, namwendesha sana mwanawe, na ni bora nicngeolewa na mwanae kwani cpendi watu, napenda maisha ya juu,ni bora mwanae atafte mke mwengine aoe! maneno haya nimeambiwa na wifi angu kabisa! na pia naweza kuamini haya kwani ckuiz akija kwangu anachunguza sana mpaka rum kwetu anaingia na makabati anafungua! juzjuz tu nilimfuma nafungua wallet yangu nakuipekuapekua!
yote haya cjamwambia mume wangu kwan naogopa mambo mawili 1.naweza nikawagombanisha mtu na mamake 2.naweza sema ntawagombanisha lkn kumbe kibao kikageuka kwangu nakuonekana mamake hana kosa sababu anampenda sana mamake!
jamani nyie acheni tu...huyu mama ana visa kwa kweli! ni vingi sana visa vyake!
sielewi nifanyenin naombeni ushauri wenu ndugu zangu
kitu km kunambia mimi mshenzi,cna adabu,najiona mzuri na maneno ya kebehi nimeshazoea kwake kwan maneno hayo hata matusi makubwa anawatukana hadi watoto wake! kwahyo huwa sion shida!
huyu mama alinipenda sana kabla cjaolewa na mwanae! alikuwa anasisitiza niolewe haraka sana kwan mwanae hatopata mwanamke km mm! hatimaye tulifunga ndoa.
maisha yetu kwa ujumla me na mume wangu ni ya kawaida sana! cri zetu tunazijua sisi wenyewe! tumelala njaa tunajua cc tukila vizuri tunajua cc!
chakushangaza mama mkwe ananisema sana kuwa mm jeuri sana, namwendesha sana mwanawe, na ni bora nicngeolewa na mwanae kwani cpendi watu, napenda maisha ya juu,ni bora mwanae atafte mke mwengine aoe! maneno haya nimeambiwa na wifi angu kabisa! na pia naweza kuamini haya kwani ckuiz akija kwangu anachunguza sana mpaka rum kwetu anaingia na makabati anafungua! juzjuz tu nilimfuma nafungua wallet yangu nakuipekuapekua!
yote haya cjamwambia mume wangu kwan naogopa mambo mawili 1.naweza nikawagombanisha mtu na mamake 2.naweza sema ntawagombanisha lkn kumbe kibao kikageuka kwangu nakuonekana mamake hana kosa sababu anampenda sana mamake!
jamani nyie acheni tu...huyu mama ana visa kwa kweli! ni vingi sana visa vyake!
sielewi nifanyenin naombeni ushauri wenu ndugu zangu