Zipo channel 140 inaitwa mambo moto, sema sidhani kama watazipenda kama wanavyopenda za azam na startimes maana nyingi za wahindi na wa lebanon na egypttatizo hawa madogo hapa home wanapenda tamthilia zilizotafsiriwa kwa kiswahili, kama zile za star swahili kwenye STAR TIMES_ na azam two kwenye AZAM,hibi kwani DSTV wana tamthilia zilizotafsiriwa kwa kiswahili ?
Kama mdau wa dstv kiukweli sijawahi kuzionaHivi DSTV wana chanel inayoonyesha series za kifilipino au kikorea ambazo wanazitafsiri kiswahili kama ilivyo kwa Azam two kwenye AZAM na st swahili kwenye STAR TIMES ?
Dahh wadau mnanichanganya asee mwamba hapo juu Nafaka kasema kaziona zipo chanel 140 na wewe umesema hazipo sijui nimwelewe yupi wakuu.Kama mdau wa dstv kiukweli sijawahi kuziona
Dstv napo hamna tamthilia za filipines kama ilivyokuwa star tv,nilikuwa nazikubali sanaMimi nina king'amuzi cha Azam hata mwezi hakijaisha but I'm not enjoying it, but nadhani ni kwasababu sio mpenzi wa soka la bongo and I'm not used to Indian and arabian tradion kitu ambacho naona Azam yeye kwenye foreign chanels zake kabase huko na hata tamthilia anazozionyesha azam two anacheza na turkish series na indian series ambapo kwangu mi ni chenga tu, kwenye entartainment huwa napenda series za kifilipino na kikorea mixer na WWE pamoja na soka la Europe in general so kwahawa Azam naona kama nimeingia cha kike.
Dstv napo hamna tamthilia za filipines kama ilivyokuwa star tv,nilikuwa nazikubali sana
9900/=halafu hivi vifurushi vya dstv vinaanzia shilingi ngapi boss? I mean vipoje vipoje ?
Chenye Wedi KapuNapenda mipira yote ya bongo na ulaya, king'amuzi gani kinafaa hapo kwa huu uchumi wa kati? Naombeni ushauri