Nishaurini kati ya Dstv na Azamtv ninunue kisimbuzi gani?

Nishaurini kati ya Dstv na Azamtv ninunue kisimbuzi gani?

tatizo hawa madogo hapa home wanapenda tamthilia zilizotafsiriwa kwa kiswahili, kama zile za star swahili kwenye STAR TIMES_ na azam two kwenye AZAM,hibi kwani DSTV wana tamthilia zilizotafsiriwa kwa kiswahili ?
Zipo channel 140 inaitwa mambo moto, sema sidhani kama watazipenda kama wanavyopenda za azam na startimes maana nyingi za wahindi na wa lebanon na egypt
 
Hivi DSTV wana chanel inayoonyesha series za kifilipino au kikorea ambazo wanazitafsiri kiswahili kama ilivyo kwa Azam two kwenye AZAM na st swahili kwenye STAR TIMES ?
Kama mdau wa dstv kiukweli sijawahi kuziona
 
Mimi nina king'amuzi cha Azam hata mwezi hakijaisha but I'm not enjoying it, but nadhani ni kwasababu sio mpenzi wa soka la bongo and I'm not used to Indian and arabian tradion kitu ambacho naona Azam yeye kwenye foreign chanels zake kabase huko na hata tamthilia anazozionyesha azam two anacheza na turkish series na indian series ambapo kwangu mi ni chenga tu, kwenye entartainment huwa napenda series za kifilipino na kikorea mixer na WWE pamoja na soka la Europe in general so kwahawa Azam naona kama nimeingia cha kike.
Dstv napo hamna tamthilia za filipines kama ilivyokuwa star tv,nilikuwa nazikubali sana
 
Back
Top Bottom