Nishaurini kuelekea Julai 13 siku ya harusi yangu

Nishaurini kuelekea Julai 13 siku ya harusi yangu

Nyamwi255

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2022
Posts
4,848
Reaction score
12,776
Kila uchwao nimekuwa mtu wa kuwaza Kuhusu siku ya harusi yangu. ( Walio olewa watakuwa wananielewa)
yani Kuna Hali Fulani hivi unakuwa nayo, furaha iliyochanganyikana na hofu.

Mfano Mimi nawaza nitawaangaliaje watu siku ya send-off, na harusi na siku ya chai Nawaza nivae nguo gani yani nitokelezee vipi siku hizo. Yani Hadi nimeanza kupungua kwa kuwaza hayo yote na hii ni kutokana na kukosa hamu ya kula.

Waungwana., naomba mnishauri KUELEKEA siku hiyo mambo ya kuzingatia na mambo ya kuepukana nayo katika nyanja mbalimbali na nitayafanyia kazi pale inapobidi.

Asante.

1718642506432.jpeg

 
Ukweli ni kwamba kinachokuvutia ni sherehe tu + heka heka za siku hiyo za kuwaaminisha mashosti kuwa ndo naolewa hivyo,

mwisho: tunamwombea mwanetu ili akili zake za kawaida zirejeee kwa kusogeza mbele hii sherehe au kuishia mitini kabisa😂
 
Ukweli ni kwamba kinachokuvutia ni sherehe tu + heka heka za siku hiyo za kuwaaminisha mashosti kuwa ndo naolewa hivyo,
mwisho: tunamwombea mwanetu ili akili zake za kawaida zirejeee kwa kusogeza mbele hii sherehe au kuishia mitini kabisa😂
Haha
 
Kila uchwao nimekuwa mtu wa kuwaza Kuhusu siku ya harusi yangu. ( Walio olewa watakuwa wananielewa)
yani Kuna Hali Fulani hivi unakuwa nayo, furaha iliyochanganyikana na hofu.

Mfano Mimi nawaza ntawaangaliaje watu siku ya send-off, na harusi na siku ya chai
Nawaza nivae nguo gani yani nitokelezee vipi siku hizo.


yani Hadi nimeanza kupungua kwa kuwaza hayo yote na hii ni kutokana na kukosa hamu ya kula.


Waungwana., naomba mnishauri KUELEKEA siku hiyo mambo ya kuzingatia na mambo ya kuepukana nayo katika nyanja mbalimbali na ntayafanyika kazi pale inapobidi.

Asante.
Ushajifunza kulala bila kyupi?
 
Kila uchwao nimekuwa mtu wa kuwaza Kuhusu siku ya harusi yangu. ( Walio olewa watakuwa wananielewa)
yani Kuna Hali Fulani hivi unakuwa nayo, furaha iliyochanganyikana na hofu.

Mfano Mimi nawaza ntawaangaliaje watu siku ya send-off, na harusi na siku ya chai
Nawaza nivae nguo gani yani nitokelezee vipi siku hizo.


yani Hadi nimeanza kupungua kwa kuwaza hayo yote na hii ni kutokana na kukosa hamu ya kula.


Waungwana., naomba mnishauri KUELEKEA siku hiyo mambo ya kuzingatia na mambo ya kuepukana nayo katika nyanja mbalimbali na ntayafanyika kazi pale inapobidi.

Asante.
Your too naive.. Kama Mimi hata Mambo ya kucheza mziki sikua nayajua MTU ambae hata kuchekacheka nadra nadra kunikuta niliweza wewe utashindwaje 😊😊😊

NB.
Maisha yangu sio MTU wa kupendelea masherehe Wala kutizama wala ku hudhuria
 
Waungwana., naomba mnishauri KUELEKEA siku hiyo mambo ya kuzingatia na mambo ya kuepukana nayo katika nyanja mbalimbali na ntayafanyika kazi pale inapobidi.
NJOO kwanza nikudinye huku nakupa ushauri au unasema?
 
Back
Top Bottom