qn of sheba
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,230
- 1,380
mimi nakushauri usome EGM. mimi ni mwalimu wa masomo ya biashara kinachowashinda wengi kwenye CPA uko mbel ni msingi mbovu wa mathematics. soma EGM achana na ECA then uende BCOMM Mlimani utakuja kunikumbuka.
Labda tu utupe mfano wa application za hesabu na CPA ndugu kama huna msingi mzuri wa Accounts hata ukisoma MMM (Mathematics,mathematics na maths) kama ingekuwepo hiyo comb kama hujui accounts cpa utaisikia tu kule ni kuelewa tu logic na mitego ya swali. Financial Repoting, International business, Taxation, - Module E ...MA,Auditing Module F hazina uhusiano wowote na Hiyo EGM hasa ukiangalia wanaotusua CPA wengi ni ECA hakuna jipya kule ukisoma ECA na Accountancy Chuo kufeli CPA ni uzembe wako walasio hesabu watu wamesoma HKL wakatusua CPA sembuse ECA anayesoma angalau BAM.