mkazamjomba
Member
- Jan 27, 2012
- 61
- 21
jirani yangu ana tabia ngumu sana mie huwa nina tabia moja kwa vile ni mfanyakazi ninapokuwa siendi kazini sina muda wakwenda nyumba za watu ila kama msiba au ugonjwa nashiriki vizura maana mara nyingi nakuwa bize sana na majukumu kama mama sasa anachonikera anangoja nikiondoka tu ana kazi ya kuomba vitu msichana wangu wa kazijuzi asubuhi nilichelewa kuondoka nilipitia hospital hakujua kaja kuomba sukari nikatoka ndani alijipurukusha nikamwambia kwa nini shida zako huniambii mimi ninayetafuta oh samahani niliishiwa sukari nikamwambia hujaanza leo sasa kama una shida sitaki umwambie huyu binti ameninua ana sema nina ringa anamsema hivi huyo mamako akiacha kazi si atakoma nashangaa maneno yametoka wapi na majirani wote hawana nae uhusiano mzuri ila nahisi msichana wangu ana kahusiano ka siri ametengeneza urafiki fulani ni nifanyeje? nishaurini kwa busara zenuKWA