Black African
Member
- Oct 17, 2011
- 24
- 3
Habari zenu wadau?matumaini yangu muwazima na mnaendelea na majukumu yenu ya kila cku kadri ya kila mmoja alivyojaaliwa.
Me ni ndugu yenu, Mtanzania mwenzenu nilimaliza kidato cha nne mwaka 2009 na kufanikiwa kupata cheti, tangu nimemaliza sijaweza kuyaweka vizuri maisha yangu kwa vile bado sijapata ajira iliyokuwa rasmi.
Kwa mwaka ujao nina wazo la kujiendeleza kielimu katika fani ya masuala ya social reserch.
Sasa ninachokiomba kwenu mawazo yenu ni kwamba kwa kiwango kidogo cha elimu nilichonacho je ipo taasisi au chuo cha kuweza kujiunga na kama kipo ni muda gani na gharama zake ziko vp?
Naomba munisaidie sana hili maana lengo langu ni kuitawala vizuri hiyo fani ili initanulie fursa nyingi za ajira ya kujitegemea.
Me ni ndugu yenu, Mtanzania mwenzenu nilimaliza kidato cha nne mwaka 2009 na kufanikiwa kupata cheti, tangu nimemaliza sijaweza kuyaweka vizuri maisha yangu kwa vile bado sijapata ajira iliyokuwa rasmi.
Kwa mwaka ujao nina wazo la kujiendeleza kielimu katika fani ya masuala ya social reserch.
Sasa ninachokiomba kwenu mawazo yenu ni kwamba kwa kiwango kidogo cha elimu nilichonacho je ipo taasisi au chuo cha kuweza kujiunga na kama kipo ni muda gani na gharama zake ziko vp?
Naomba munisaidie sana hili maana lengo langu ni kuitawala vizuri hiyo fani ili initanulie fursa nyingi za ajira ya kujitegemea.