Nishaurini nahisi kuwa na nguvu nyingi za kiume

Nishaurini nahisi kuwa na nguvu nyingi za kiume

MPIKUSASA

Senior Member
Joined
Mar 26, 2013
Posts
112
Reaction score
6
Hi! nakuja kwenu wanajamii ilikupata ushauri ambao kwa namna moja nyingine utakuwa utatuzi wa kile ninachohisi kuwa tatizo. Kwanza nilihisi ni kawaida sana na sasa naona kama tatizo, kwani mie mwenzenu nikiingia kwenye chumba cha siri tukianza game hadi nifike mara 10-12 kwa usiku1 hadi nahisi ni tatizo. je nifanyeje ili nipunguze safari hizi wakati mwili unakuwa unahitaji? Plz take it serios!
 
Hauna tatizo lolote,endelea kupiga mashuti mara hizo unazozisema na baada yamiaka kadhaa utapata jibu.
 
Mbona hiyo ni hali ya kawaida sana! .....mimi huwa nanyoosha goti usiku kucha, hakuna kulala mpaka mademu wananikimbia wenyewe!
 
ushauri wangu kwako, jitahidi kudhibiti hisia zako, usikubali mwili ukupeleke unavyotaka.......
 
jamaa badala ya kushangilia unatafta suluhsho...piga kaz..c uongeze wanawake maana yaonesha waweza mudu wengi
 
kula karanga mbichi na konyagi utapata jibu.
 
Hongera kwa uwezo huo, ukiona hivyo ujue Mungu alikuumbia wa kufanana naye, siku mkikutana mbona patachimbika bila jembe na ndoa utatangaza siku hiyo hiyo.

Endelea na zoezi la kutafuta ipo siku utampata wa size yako.
 
Hi! nakuja kwenu wanajamii ilikupata ushauri ambao kwa namna moja nyingine utakuwa utatuzi wa kile ninachohisi kuwa tatizo. Kwanza nilihisi ni kawaida sana na sasa naona kama tatizo, kwani mie mwenzenu nikiingia kwenye chumba cha siri tukianza game hadi nifike mara 10-12 kwa usiku1 hadi nahisi ni tatizo. je nifanyeje ili nipunguze safari hizi wakati mwili unakuwa unahitaji? Plz take it serios!
Kibamia hiko
 
Ni utoto tu, ukikuwa utatafuta 3 na usingizi juuuuuuuuuuuuuuuuuuuu.
 
Hi! nakuja kwenu wanajamii ilikupata ushauri ambao kwa namna moja nyingine utakuwa utatuzi wa kile ninachohisi kuwa tatizo. Kwanza nilihisi ni kawaida sana na sasa naona kama tatizo, kwani mie mwenzenu nikiingia kwenye chumba cha siri tukianza game hadi nifike mara 10-12 kwa usiku1 hadi nahisi ni tatizo. je nifanyeje ili nipunguze safari hizi wakati mwili unakuwa unahitaji? Plz take it serios!

Nyie ndo nasikiaga mnaitwa 1 minute man.....
 
Hahahahahahahahaha......nimefurahi kwakweli
Imefungiwa mota au? Punguza bwana huumwi kiuno na mgongo?
 
Chocs hebu nisaidie njia ya kufanya kiukweli nahisi abnormality! Nahisi kama vile sio japokuwa nikiwa na fundi anasifia kazi!
 
hiyo nyota inaondolewaje? mbn hauniachii jibu sawasawa?
 
Back
Top Bottom