Nishaurini namna ya kutoka kwenye huu mtego

Nishaurini namna ya kutoka kwenye huu mtego

Vocal Fremitus

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2016
Posts
1,287
Reaction score
6,648
Kuna kabinti kamenielewa. Nilikutana nae njiani katika pita pita zangu nikadaka namba. Naweza sema kwenye vigezo vya mwanamke wa ndoto zangu ametimiza 6/10. Kwahyo wakati namtongoza lengo langu lilikua kutuliza ham zangu tu na kusepa. Ingawa awali sikumfahamisha hilo.

Mwanzoni nilimdanganya mambo mengi kuhusu maisha yangu. Na siku niliyoamua kumueleza uhalisia wangu hata hakushtuka. Alizidisha upendo wa hali ya juu. Nilimaliza chuo miaka kadhaa iliyopita kwa sasa najishughulisha na biashara ndogo ndogo pamoja na mishe za udalali kwahiyo maisha yanasonga ingawa kipato changu naunga unga sana. Yeye anajua mimi bado naishi kwetu ila kiukweli nimepanga (hili nimefanya siri kwa vile sipendi ajue ninapoishi). Kwahyo tukitaka privacy tunakutana lodge na mara nyingi hua analipa yeye kwa vile anajua siko stable kiuchumi.

Binti ananipenda mpaka namuonea huruma. Anafanya mishe zake za kushona, kashawapiga chini masela kibao kitaani kwao wanaomfukuzia. Kuna kijana alishanifata na kuniomba nimpotezee ili amuoe, tukafanya mchongo nikampiga chini binti. Bahati mbaya plan ikafeli na demu amegoma kuachika na mimi.

Anaishi na wazazi na sasa anataka apange chumba tuishi wote ktk getto lake hata kama sina kazi anadai atakua anasimamia kila kitu mpaka ntakaposimama vizuri kiuchumi. Lakini sina hisia nae aisee, hasa kila ninapomuona anavyojitahidi kuonyesha care kwangu ndio nazidi kuchukia. Nimeshamueleza kwa umri wake wa miaka 24 anatakiwa ampate mwanaume atakaempenda aolewe anagoma kabisa.

Mtihani kwakweli.
 
Hisia ndio kila kitu ktk mapenz......kama humfili na kuendelea kuwa naye ni Kama unamdhulumu Tu na kibaya Zaidi inaonyesha anazidi wekeza hisia zake kwako.....tafuta mbinu za kumwacha mapema kabla hajapanga na kufanya mambo yawe makubwa zaidi.
 
Hisia ndio kila kitu ktk mapenz......kama humfili na kuendelea kuwa naye ni Kama unamdhulumu Tu na kibaya Zaidi inaonyesha anazidi wekeza hisia zake kwako.....tafuta mbinu za kumwacha mapema kabla hajapanga na kufanya mambo yawe makubwa zaidi.
Mbinu zote zimegoma boss. Hapa nafikiria kuhama mji. Nilishablock namba zake, lkn bado anakomaa.
 
Kuna kabinti kamenielewa. Nilikutana nako njiani katika pita pita zangu nikadaka namba. Naweza sema kwenye vigezo vya mwanamke wa ndoto zangu ametimiza 6/10. Kwahyo wakati namtongoza lengo langu lilikua kutuliza ham zangu na kusepa. Ingawa awali sikumfahamisha hilo.

Mwanzoni nilimdanganya mambo mengi kuhusu maisha yangu. Na siku niliyoamua kumueleza uhalisia wangu hata hakushtuka. Alizidisha upendo wa hali ya juu. Nilimaliza chuo miaka kadhaa iliyopita kwa sasa najishughulisha na biashara ndogo ndogo pamoja na mishe za udalali kwahiyo maisha yanasonga ingawa sio kipato bado naunga unga. Yeye anajua mimi bado naishi kwetu ila kiukweli nimepanga (hili nimefanya siri kwa vile sipendi ajue ninapoishi). Kwahyo tukitaka privacy tunakutana lodge na mara nyingi hua analipa yeye kwa vile anajua siko stable kiuchumi.

Binti ananipenda mpaka namuonea huruma. Anafanya mishe zake za kushona, kashawapiga chini masela kibao kitaani kwao wanaomfukuzia. Kuna kijana alishanifata na kuniomba nimpotezee ili amuoe, tukafanya mchongo nikampiga chini binti. Bahati mbaya plan ikafeli na demu amegoma kuachika na mimi.

Anaishi na wazazi na sasa anataka apange chumba tuishi wote ktk getto lake hata kama sina kazi anadai atakua anasimamia kila kitu mpaka ntakaposimama vizuri kiuchumi. Lakini sina hisia nae aisee, hasa kila ninapomuona anavyojitahidi kuonyesha care kwangu ndio nazidi kuchukia. Nimeshamueleza kwa umri wake wa miaka 24 anatakiwa ampate mwanaume atakaempenda aolewe anagoma kabisa.

Mtihani kwakweli.
Daah mwanangu kama umetambua kuwa anakupenda kwa dhati na kwa moyo wote oa mzee wangu kinyume chake ni kwamba utakuja kujuta sana sana yaani saaaaaaaana kusema ukweli mimi ishanitokea iyo manzi moja ilinielewa alafu mimi ndo nkawa siielewi kiviiiile daaah basi uko mbeleni nikaitosa kwa sababu ya manzi nliyokuwa naielewa mimi basi mpaka leo ni mwaka w nne yule ninayemuelewa mimi ananichezesha kindumbwe ndumbwr hatari yaani daah we acha milichogundua apa duniani ukipata binadamu mwenzio akakuelewa kwa moyo wake wote basi ilo ndo chaguo lako pambana naye mambo ya sura na figure mkiwa na pesa mingi ananweza kutengeneza uko mbeleni ushauri wangu nďo ukijaza shingo basi majuto yatakuwa ni mjukuu wako, kaza shingo at your own risk baba mzazi kifupi mimi ninayempenda ananichezasha kindumbwe ndumbwe mpaka mwenyewe akili imenikaa sawaa aisee usiombe mkuu tena narudia tena uyo ni wife material oa chap kabla masela nya hawajamstukia wakakuaribia mzee mpaka muda huu unachelewa kuanza kujiandikisha thread kamata ilo homa weka ndani boss wangu
 
Kma Kafka 6/10 weka ndani mjomba utashangaa unapata Ajira michongo infunguka mihelaaa hiyooo[emoji23][emoji23](joke) but km apmbna na anjua kutafta hata elfu10 uyo ndo mwanmke kaka plus ankupend chukua jiko hilo[emoji120]

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Daaah
 
Daah mwanangu kama umetambua kuwa anakupenda kwa dhati na kwa moyo wote oa mzee wangu kinyume chake ni kwamba utakuja kujuta sana sana yaani saaaaaaaana kusema ukweli mimi ishanitokea iyo manzi moja ilinielewa alafu mimi ndo nkawa siielewi kiviiiile daaah basi uko mbeleni nikaitosa kwa sababu ya manzi nliyokuwa naielewa mimi basi mpaka leo ni mwaka w nne yule ninayemuelewa mimi ananichezesha kindumbwe ndumbwr hatari yaani daah we acha milichogundua apa duniani ukipata binadamu mwenzio akakuelewa kwa moyo wake wote basi ilo ndo chaguo lako pambana naye mambo ya sura na figure mkiwa na pesa mingi ananweza kutengeneza uko mbeleni ushauri wangu nďo ukijaza shingo basi majuto yatakuwa ni mjukuu wako, kaza shingo at your own risk baba mzazi kifupi mimi ninayempenda ananichezasha kindumbwe ndumbwe mpaka mwenyewe akili imenikaa sawaa aisee usiombe mkuu tena narudia tena uyo ni wife material oa chap kabla masela nya hawajamstukia wakakuaribia mzee mpaka muda huu unachelewa kuanza kujiandikisha thread kamata ilo homa weka ndani boss wangu
Blaza umeandika kwa hisia saaaana aisee. Sijui ni kwann inakua hivi, hawa tunaowapenda wanazingua zingua! Wanaotupenda ndio hivyo sio pisi kali
 
Blaza umeandika kwa hisia saaaana aisee. Sijui ni kwann inakua hivi, hawa tunaowapenda wanazingua zingua! Wanaotupenda ndio hivyo sio pisi kali
Mwanetu nimeandika ukweli na uhalosia wa maisha yangu apo yaani katika maisha yangu apa duniani kuna pis mbili ambazo zenyewe zilinielewa ile ile yaani zilinipenda kweli kweli kwa moyo mmoja kwa dhati kwa mapenzi yote yaani zile ps zilikuwa tayari kufanya lolote ilmraďi mimi niwe na furaha ata kama ni gesema sina ela kwa miaka mitano nisiwatunze wala kuwapa chochote walikuwa tayari kunivumswia na kunitunza wao basi mie sikuwahi kuwaeleaa kiviiile wote kwa muda tofauti tofauti niliwapiga chini jwa sababu mimi kuna manzi nuliyokuwa naielewa sana na kuikubali sana daaah yaani ni miaka minne tangia nimewapiga chini hii ninayoipenda na kuikubali mimi inanichszesha kindumbwe cha hatari mzee wangu na sina cha kufanya zaidi inabidi niivumilie tu
 
Jombaa embu anza kutengeneza hali ya kumpenda huyo mrembo.Kamwe hautakuja kupata mrembo kama huyo ukija mpotezea.Huyo ndio wife material,wengi wanatafuta hizo bahati wanakosa.Na kuja kuleta thread za masikitiko hapa JF kila siku.
Nimekusoma mkuu. Tatizo pisi ina sura ya baba!
 
Wewe umemdanganya na yeye kakudanganya. Huyo binti anamtoto mmoja, anakaa na Bibi yake Kibaha, na huyo binti haishi kwao, anakibanda chake. Fuatilia utaelewa ni nini ninamaanisha.
Hahahaahahahaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unayempendaaa!!
Anampenda mwingineeeh!!
Moyo sukuma damu!
Si VINGINE[emoji174][emoji174]
Kama hujampenda mkatae mapema mdada wa watu kajitoa kwa moyo wote kubeba gunia la misumari
Mtihani mzito. Nimeshafanya visa vingi anichukie, nimeshamkataa na kumpiga chini mara zote anakwepa mishale anarudi. Akianza kulia namuonea huruma maisha yanaendelea. Lakini nafsi inanisuta naona kabisa namtesa.
 
Back
Top Bottom