Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Mtengenezee fumanizi....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
29
Tayari, alinifumania, alilia sana na kuondoka. Baada ya siku tatu akarudi tena kuomba msamaha akitaka kujua wapi alipokosea mpaka nikacheat ili arekebishe! DahMtengenezee fumanizi....
Kwa umri huo kuoa ni sawa!
Sasa kwanini ulikubali tena??? Haupo serious na kazi weweTayari, alinifumania, alilia sana na kuondoka. Baada ya siku tatu akarudi tena kuomba msamaha akitaka kujua wapi alipokosea mpaka nikacheat ili arekebishe! Dah
HahahaSasa kwanini ulikubali tena??? Haupo serious na kazi wewe
Kwa upande wangu naweza sema hiyo ni bahati usichezee wala usilalie mlango wazi ....kwa experience yangu ..nasema ivi kwasabu mwanamke ndo kiumbe Chenye upendo wa Dhati sisi wanaume hatujui kupenda trust me ... kuna washkaji wana tafta bahati kama hiyo na wana tumia garama kubwa kupata opportunity kama hiyo anzeni maisha punguza longo longo nyingi hata kama wew ni dalali ..... MUNGU atafungua njia za rizki mani .... angalia ucje ukajuta badayeKuna kabinti kamenielewa. Nilikutana nae njiani katika pita pita zangu nikadaka namba. Naweza sema kwenye vigezo vya mwanamke wa ndoto zangu ametimiza 6/10. Kwahyo wakati namtongoza lengo langu lilikua kutuliza ham zangu tu na
😂😂😂😂 dah!Wewe umemdanganya na yeye kakudanganya. Huyo binti anamtoto mmoja, anakaa na Bibi yake Kibaha, na huyo binti haishi kwao, anakibanda chake. Fuatilia utaelewa ni nini ninamaanisha.
Aise mzeya mapumbu yako yalo rehani....soon tutakusoma hapa jf umechomwa visuTayari, alinifumania, alilia sana na kuondoka. Baada ya siku tatu akarudi tena kuomba msamaha akitaka kujua wapi alipokosea mpaka nikacheat ili arekebishe! Dah
aisee umeandika strory of my life kwa ufupi sanaSijui ni kwann inakua hivi, hawa tunaowapenda wanazingua zingua! Wanaotupenda ndio hivyo sio pisi kali
Not a joke, nilikuwa na mdada wa hivyo simpendi kivile Ila ni mpole na mvumilivu akashika mimba hapo nikapata kazi na maisha yakasimama nimeamua kuoa,wanaume hatupelekwi na hisia ni akili Tu Mtu wangu...kuna wanawake maishani mwako wanakuja na bahati nzuri take it or notKma Kafka 6/10 weka ndani mjomba utashangaa unapata Ajira michongo infunguka mihelaaa hiyooo[emoji23][emoji23](joke) but km apmbna na anjua kutafta hata elfu10 uyo ndo mwanmke kaka plus ankupend chukua jiko hilo[emoji120]
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app