Nishaurini namna ya kutoka kwenye huu mtego

Mkataa pema ........... Huwa napenda kuwafahamu hawa wahenga waliotunga hizi tunahita methali. Walikuwa manguli mnoo.
 
Mrejesho
 
Yaan hapo kwenye kumpiga chin halafu ukarudiana naye ndio hisia zako zipo kwa hiyo bint, Muoe! Bora hiyo hisia hazipo;zitakuja na hutoteseka,
LKN pale kwenye 9/10 wife material vyombo kwenye kabat vianze kugongana utamkumbuka X,
Kama Binti anajishughulisha na ana akili ya maisha, Chukua huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…