Nishaurini Ndugu zangu juu ya huyu mwanamke


Niliposoma paragraph ya mwisho, nimekufananisha na yale matoto mazembe yaliyolelewa kimayai mayai ambayo yakiguswa kidogo tu yanaishia kuchimba biti la "nitakusemea kwa mama"...

Mtu kama wewe hata tukikushauri tutakuwa tunapoteza muda tu, pambana na uduanzi wako...
 
Endelea nae tu mpaka awalete hapo hapo mnapokaa wamkaze ukiona.
Huyo shetani aliempitia ni dume kama wewe ila mwenzio anachapa na kusepa, wewe endelea kuweka kambi.
Haswaaa umesema ukweli
 
Jamaa mpaka kaniudhi
 
Awee mamaa weee
Ingekua ungefanyajeee
Awee mama weee
Ingekua ungefanyajee

Mwenzenu nakosewa mimii
Na msamaha naombaa mimii
Awee mama wee ingekua ungefanyajee.

Atist:Bushoke
Hahahaaa..... JFs huwezi kuwa na stress kamwe.....naenda youtube nikasikilize vizuri Bushoke.
 
We kima Mwiba1 njoo huku
 
Hiyo namba 3 ni jibu lako, kama umeshindwa kuchukua hatua mpaka sasa mbeleni kuna kiza kinene. Mwanamke ana kupenda hawez kukutamkia kauli kama hizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…