yaser
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 1,361
- 299
wanajamii habarini za muda huu na poleni sana kwa majukumu ya kimaisha......napenda kuwauliza ni zao gani ambalo linaweza kustahimili kwenye ardhi ya mchanga hasa kwa kipindi hiki ambacho kwa hapa dar-es-salam kuna mvua za hapa na pale.
nitashukuru kwa majibu yenu pia nawatakia kazi njema na mungu awape afya tele na maisha mrefu mzidi kusaidia jamii yetu
Ahsanteni sana
YASER.
nitashukuru kwa majibu yenu pia nawatakia kazi njema na mungu awape afya tele na maisha mrefu mzidi kusaidia jamii yetu
Ahsanteni sana
YASER.