Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaah kichwapanzi kajua kumvua nguo mange ha ha ha mange hana hamu mdomo wote kwishaYaani wabongo ni nyoko....maana huko kwa Ivan mpaka waganda wanaitana waone tashtiti za wabongo.
Afu shoga ako Mange vepe kwani?
Kuanikwa michupi yake yenye fangasi na udambwiudambwi vepeeee!
Ila jamani dahhhh, hapana kwa kweli, Watu wananyooshana.
Haya, bwana ako Chriss kumchezesha mwanae wimbo wa Daimond vipiiii?
Au nae katumwa?
kama unaona hapakufai si upite vilee,kwan umeitwa humu?Mwaka mpya mambo mapya ebu acheni unproductive topics whether he is gay or not itasaidia nini?
chezeya super staa weyeU-superstar raha sana.
Mara hii mada ishageuka ya Madame B....chezea
Mjini sihani kabisa kwa kiki hii.
Hapo chacha sijui huku alitegemea atakuta injili mijitu mingine ovyoookama unaona hapakufai si upite vilee,kwan umeitwa humu?
Ha ha ha ha ha nlikuona binamu nkaona lulu anakuambia eti una wivumbwa kabisa huyo, binamu jana nilichambana na lulu insta kwenye account ya zamaradi,nilimnyeaje
kama unaona hapakufai si upite vilee,kwan umeitwa humu?
Hapo chacha sijui huku alitegemea atakuta injili mijitu mingine ovyooo
Kichwa panzi wanashirikiana na Zenat kumvua nguo Mange.Aaah kichwapanzi kajua kumvua nguo mange ha ha ha mange hana hamu mdomo wote kwisha
Chriss ndo nani tena
Umbwa tena??? Sirudii wakuu inatosha watu wengine hatujui hizo makavu livrmbwa kabisa huyo, binamu jana nilichambana na lulu insta kwenye account ya zamaradi,nilimnyeaje
Karibu tena, hapa umbea tudah asanteni maana mmenifanya nibatasamu jioni ya leo.......... basi endeleeni wapendwa mimi napita tu.
Kichwa panzi wanashirikiana na Zenat kumvua nguo Mange.
Eti, kweli alimkataa mama yake Airport kisa alivaa kama house maid?
Jamani Mange mbona shughuli imempata....yaani kila anakojitetea, anaambukia deshiiiiii.
Ngoja lakini tuone mwishi wake
Alitegemea atakuta post za baba yake mdogo Fadhaget?Celebrities forum
Account ya kwanza llifungwa, hii ya pili.Kichwapanzi ameshaaga yupo likizo atarudi tena mange akianza mdomo, mange hana hamu nae
Wanakwambia kama kawaida kama kawa, R.I.P Tekno, kisa kapiga picha na Lulu.Ha ha ha ha ha nlikuona binamu nkaona lulu anakuambia eti una wivu
Kwamba r.i.p in advance, aandae jeneza ha ha ha watu bana eti mjane mdogo kuliko wote TzWanakwambia kama kawaida kama kawa, R.I.P Tekno, kisa kapiga picha na Lulu.
Sie wabongo jamani...khaaa
Ndo hiyo account ya pili aliaga anaenda likizo, ha ha duller square labda ni @warumi make ni hampendi wema vibaya mnooAccount ya kwanza llifungwa, hii ya pili.
hivi duller squer ni nani maana hatare, au ni wewe bi shost?
Kuna mmoja akaenda kwenye account ya Tekno akamuuliza, unamjua Kanumba?Kwamba r.i.p in advance, aandae jeneza ha ha ha watu bana eti mjane mdogo kuliko wote Tz