Nisipangiwe cha kupost..!! Nitapost ninachojisikia!

Nisipangiwe cha kupost..!! Nitapost ninachojisikia!

Post tu hata ukiamua upost matusi mwanzo mwisho na ningependa uanze na hili mana si unasema hupangiwi? Basi embu anza na matusi uyaelekezee kwa akina mods na wengine mwanzo mwisho
Mbona kama unanipangia..
 
Ni wewe hata ukiamua kupost sehemu zako za faragha, ruksa!
 
Na mimi kuanzia leo sipangiwi kitu cha kupost humu maana simu ni yangu, bundle ni langu na hata wakati nanunua nilikwenda dukani mwenyewe na kuchagua aina ya simu mwenyewe. Sipangiwi!
Mimi ndio naamu hiki ni post jukwaa hili, kile kikae jukwaa lile, msiniingilie...
Aaahahahahhaha mkuuu
 
Na mimi kuanzia leo sipangiwi kitu cha kupost humu maana simu ni yangu, bundle ni langu na hata wakati nanunua nilikwenda dukani mwenyewe na kuchagua aina ya simu mwenyewe. Sipangiwi!
Mimi ndio naamu hiki ni post jukwaa hili, kile kikae jukwaa lile, msiniingilie...
Aaaaah mkuu ww post tuu, ni mwendo wa kupost tuu, hata kama ukiwa toilet unashusha mzigo we post tuu ,kwa nn upangiwe ww post tuu
 
Aaaaah mkuu ww post tuu, ni mwendo wa kupost tuu, hata kama ukiwa toilet unashusha mzigo we post tuu ,kwa nn upangiwe ww post tuu
Hata wewe sikupangii post....
 
Back
Top Bottom