Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 11,050
- 31,412
Salam ndugu na jamaaa.
Naomba kujua Kama itamletea shida akikua huyu mtoto, sikusudii atobolewe masikia Kama ilivyo kawaida ya wanawake wa kwetu.
Labda anaweza kutulaumu huko mbeleni kwa vile hatukumfanyia hivyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kujua Kama itamletea shida akikua huyu mtoto, sikusudii atobolewe masikia Kama ilivyo kawaida ya wanawake wa kwetu.
Labda anaweza kutulaumu huko mbeleni kwa vile hatukumfanyia hivyo?
Sent using Jamii Forums mobile app