Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaah! Wewe dada wewe!!Misikutobolewa masikio..Mama Yangu hajatoboa Hadi leo anavaaga zakubandika. Ila nilitobolewa na mwiba na rafiki Yangu Annarose secondary.Annarose popote ulipo Dua njema Nakuombea.
Baada ya hapo nikaendelea kutoboa masiko saiv KILA sikio na matundu matano....
Natafuta mtu anitoboe Clitoris[emoji16][emoji16][emoji16]...natafuta mtoboaji jamani
Huwa namlaumu sana mama kutonitoga sikio udogoni linanisumbua mpaka leo.Katika vitu nashukuru ni kutobolewa masikio utotoni, katika pita pita zangu sijawahi kutana na mdada anayejuta kutobolewa sikio zaidi sana huona wanavyohaha kutoga sikio ukubwani na wengine hata huongeza kabisa idadi ya vitundu vya hereni..!!
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]Ana miaka mingapi?Mtoto mdogo chini ya miaka saba ana kinga ndogo sana,ukimtoboa masikio unaweza kushangaa sikio zima linaoza!
[emoji2954][emoji2954][emoji2954]Misikutobolewa masikio..Mama Yangu hajatoboa Hadi leo anavaaga zakubandika. Ila nilitobolewa na mwiba na rafiki Yangu Annarose secondary.Annarose popote ulipo Dua njema Nakuombea.
Baada ya hapo nikaendelea kutoboa masiko saiv KILA sikio na matundu matano....
Natafuta mtu anitoboe Clitoris[emoji16][emoji16][emoji16]...natafuta mtoboaji jamani
Naoffer kukutoboa ndogo.Misikutobolewa masikio..Mama Yangu hajatoboa Hadi leo anavaaga zakubandika. Ila nilitobolewa na mwiba na rafiki Yangu Annarose secondary.Annarose popote ulipo Dua njema Nakuombea.
Baada ya hapo nikaendelea kutoboa masiko saiv KILA sikio na matundu matano....
Natafuta mtu anitoboe Clitoris[emoji16][emoji16][emoji16]...natafuta mtoboaji jamani
Sa tunafanyaje kulitibu?Huwa namlaumu sana mama kutonitoga sikio udogoni linanisumbua mpaka leo.
😀😀😀 mkuu shepu tu kwa mama sio ?Binti yangu alipozaliwa nilisema asitobolewe atatoboa mwenyewe.
Kabinti kamefanana sura na mimi mpaka dimpoz shape tu ndiyo kaifuata kwa mama yake.
Nikawa napata malalamiko kwamba watu wakimuona wasipotajiwa jinsi na akiwa kavaa pensi, kanyelamumo au suruali wanajua ni wa kiume.
Mi nikakaza tu na msimamo wangu.
Wakanizunguka nashangaa siku hiyo natumiwa picha binti katobolewa. Nikataka kuwapanikia lakini nikiangalia naona actually hizi hereni zinampa muonekano wa kidada.
So nikaacha hiyo ishu iwe. Mpaka leo binti katobolewa masikio.