Nisipogombezwa na mwanaume nahisi sipendwi

Nisipogombezwa na mwanaume nahisi sipendwi

cutelove

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2017
Posts
3,448
Reaction score
7,972
Kwenye mahusiano lazima mnakuwa mnagombana na muda mwingine mnafurahia baada ugomvi kuisha

Jamani kwangu mimi, nikiwa kwenye mahusiano na mwanaume halafu tukaishi kwa muda mrefu na kama binadamu kuna sehemu huwa ninakosea lakini mpenzi hanigombezi au haniulizi makosa niliyofanya,huwa nahisi sipendwi

Mwanaume anapokuwa ananigombeza hadi najikuta nalia,najikuta nahisi kupendwa na mwanaume huyo,na huamini kuwa mwanaume huyo ananipenda

Asiponigombeza huwa nahisi kuna mwanamke mwingine anayempenda tofauti na mimi

Naombeni mnisaidie,ni kwangu tu au kuna wengine hali hiyo huwa inawatokea
 
Kwenye mahusiano lazima mnakuwa mnagombana na muda mwingine mnafurahia baada ugomvi kuisha

Jamani kwangu mimi, nikiwa kwenye mahusiano na mwanaume halafu tukaishi kwa muda mrefu na kama binadamu kuna sehemu huwa ninakosea lakini mpenzi hanigombezi au haniulizi makosa niliyofanya,huwa nahisi sipendwi

Mwanaume anapokuwa ananigombeza hadi najikuta nalia,najikuta nahisi kupendwa na mwanaume huyo,na huamini kuwa mwanaume huyo ananipenda

Asiponigombeza huwa nahisi kuna mwanamke mwingine anayempenda tofauti na mimi

Naombeni mnisaidie,ni kwangu tu au kuna wengine hali hiyo huwa inawatokea
Cutelove sorry niliwahi kufanya research kuhusu hii ishu lakin sikupata majibu haswa. Si ww ila wanawake wengi wako hivyo?

Lakin kwa nn? Nn kinakupelekea kuwa hivyo?
 
Cutelove sorry niliwahi kufanya research kuhusu hii ishu lakin sikupata majibu haswa. Si ww ila wanawake wengi wako hivyo?

Lakin kwa nn? Nn kinakupelekea kuwa hivyo?
Ndo na mimi najiuliza ni kwangu tu au na kwa wengine wako hivyo
 
Kwenye mahusiano lazima mnakuwa mnagombana na muda mwingine mnafurahia baada ugomvi kuisha

Jamani kwangu mimi, nikiwa kwenye mahusiano na mwanaume halafu tukaishi kwa muda mrefu na kama binadamu kuna sehemu huwa ninakosea lakini mpenzi hanigombezi au haniulizi makosa niliyofanya,huwa nahisi sipendwi

Mwanaume anapokuwa ananigombeza hadi najikuta nalia,najikuta nahisi kupendwa na mwanaume huyo,na huamini kuwa mwanaume huyo ananipenda

Asiponigombeza huwa nahisi kuna mwanamke mwingine anayempenda tofauti na mimi

Naombeni mnisaidie,ni kwangu tu au kuna wengine hali hiyo huwa inawatokea

kuna mda kugombezana ni kinga kubwa ya kudumisha mapenzi.bila kusemeana ukweli ni kama na wanafiki kuchekeleana tumboni
 
Back
Top Bottom