Nisipogombezwa na mwanaume nahisi sipendwi

Nisipogombezwa na mwanaume nahisi sipendwi

Hapa ndo utaona kuwa wanaume tuna tabu sana kujua mwanamke anataka nini....You can see this girl anapenda kugombezwa ,yani hiyo ndo ishara kuwa anapendwa
Hehehehe ni kazi sana kumjua mwanamke anataka nini kuliko kumaliza kusoma vitabu vya philosophy hehehehe wuuiii
 
SIGOMBEZI MTU MZIMA,TENA MSOMI, NKIKUVUMILIA SAAAANA UKIZIDISHA NAKUZABUA KIDOGO TU.
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Aisee Kumuelewa Msichana ni Jambo gumuu Sana...! Ningemjua mumeo ningemuibia hii sirii yanii Kilaa siku ni kukugombezaa tuuu....Asubuhi anakugombeza...Usiku mnapolala anakugombezaa...Ukutee hiyo inakusaidia hata kukiona kilele mapemaaaa
 
We Cutelove hivi upoje lakini aaaaah!!
Sa ndo nini kuandika uzi kama huu?
Hivi unajua unanikera sana mie?

Tayari mama nishakugombeza nahisi sasa umeona mapenzi yangu live kabisa...Nakuja Pm now
 
Wakati nikiwa mdogo kuna jirani yetu alikuwa ni mlemavu wa miguu. Ikatokea siku anaongea na wenzako leo mwili waniwasha kweli. Hebu arudi baba naniii nimchokoze anidunde
 
Mimi spendi kugombezwa lakini huwa inafika wakati natamani tukwaruzane tu kidogo yani nibembelezwe yani hata ninune bila sababu bebe anipakate anibembeleze aniambie maneno mataam ani kiss utam kabisa yani ni kama kudeka hivi kwa mr wangu. daah asikwambie mtu kupendwa raha jamani
Mambo ya kubembelezana hayo kwa kosa lako sina kabisha
 
Nilikuwa namgombeza demu wangu kwa makosa yake mwenyewe lakni naonaga Upuuzi kupgshana kelele kwa vitu vya kijinga uhamua kukaa kmya hadi mwaka mzma
 
Kwenye mahusiano lazima mnakuwa mnagombana na muda mwingine mnafurahia baada ugomvi kuisha

Jamani kwangu mimi, nikiwa kwenye mahusiano na mwanaume halafu tukaishi kwa muda mrefu na kama binadamu kuna sehemu huwa ninakosea lakini mpenzi hanigombezi au haniulizi makosa niliyofanya,huwa nahisi sipendwi

Mwanaume anapokuwa ananigombeza hadi najikuta nalia,najikuta nahisi kupendwa na mwanaume huyo,na huamini kuwa mwanaume huyo ananipenda

Asiponigombeza huwa nahisi kuna mwanamke mwingine anayempenda tofauti na mimi

Naombeni mnisaidie,ni kwangu tu au kuna wengine hali hiyo huwa inawatokea
Unatokea Tarime mzee mama?
 
Kipigo hapana,unigombeze tu lakin usinipige,nitaaumia mwanzoni ila baadae nitahisi kunipenda,ndo ugonjwa wangu huo
Na Mimi kuishi na mwanamke bila kumgombeza siskii raha kabisa[emoji4] [emoji4] [emoji4]
 
Kugombana mara chache chache hunogesha mahusiano na pia huzidisha msisimko.

Mfano mimi nikigombana na wifi yenu tutakaa siku kadhaa bila mazungumzo marefu zaidi ya salam, tukilala kila mmoja anageukia kwake,baada ya siku chache hapo kila mmoja anakuwa na hamu na mwenzie.

Sasa siku namgegeda show inakuwa si ya kitoto,napiga mashine kama vile nimepata demu mpya halafu mkaliiiiii kama Money Penny
 
Kha! Watu wengine mnapenda vitu vya ajabu, yani unigombeze hadi nilie ndo niamini unanipenda??[emoji3] sina machozi ya mchezo hivyo. Ebu jitahidi ushazoea kuwa abused wewe
 
Back
Top Bottom