Nisipogombezwa na mwanaume nahisi sipendwi

yah sometiomes is true mwenyewe manzi wangu akizingua huwa nagomba sana alafu nambembeleza tena ili akae powah mapenz bwana kama mzizi na udongo
 
Ni mtazamo wako tu,lakini wengine wakigombezwa unaweza kuwaletea mshituko wa moyo na baadaye ikawa matatizo
 
Sawa
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…