Sio rahisi mkuu maana hata kifungo Cha maisha isolated cell unauhuru wa kuomba kuletewa msosi na mwanamke Kama tiba ya akili.Jitahidi upate tiba haraka kwakuwa kwenye harakati za maisha unaweza kufika mahali hakuna mwanamke hata mmoja wa KUMUONA kwa miezi na miezi
Jr[emoji769]
Kuna baadhi ya sehemu wanawake huwa hawafiki niamini mimiSio rahisi mkuu maana hata kifungo Cha maisha isolated cell unauhuru wa kuomba kuletewa msosi na mwanamke Kama tiba ya akili.
akiendelea kubisha nitagKuna baadhi ya sehemu wanawake huwa hawafiki niamini mimi
Jr[emoji769]
Kuna watu wako jela, Wana miaka mingi hawajamuona mwanamke yeyote, mpaka wanabishana, hivi kati ya maziwa na kichwa kipi kiko mapajaniNimeshajipima na kujitambua siwezi kuishi kabisa bila kumuona mwanamke duniani !
Ikitokea hivyo nitakufa instantly hakika.
Women hasa ambao sio bloodline hakika wananiumiza mno.Nakiri udhaifu wangu kwao.
Kifupi naumwa bila ladies.!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mimi ningesema kwioKuna watu wako jela, Wana miaka mingi hawajamuona mwanamke yeyote, mpaka wanabishana, hivi kati ya maziwa na kichwa kipi kiko mapajani
Usipende sana tope.. Usipende sana tope...!Wakienda sokoni tunaangalia makalio huku tunacheza draft.
Hahaha kwanini mkuuWewe toka umebadilisha avatar yako maarufu umekuwa Kama mzuka