Nisiwe mnafiki, Wydad na Raja casablanca hawastahili kucheza soka la Afrika

Nisiwe mnafiki, Wydad na Raja casablanca hawastahili kucheza soka la Afrika

View attachment 2805704
Nimefurahi sana kwa ushindi wa jana wa Wydad Casablanca dhidi ya mamelodi, mafundi wa Morocco hao katika jiji la Casablanca, Wydad 2-1 mamelodi

Nisiwe mnafiki, Wydad na Raja Casablanca hawastahili kucheza mashindano ya Afrika, kwa wale wanamichezo na si mashabiki watakua wamenielewa, kwa wale wanaoshabikia kwa kigezo cha uafrika/Rangi, mada hii haiwahusu, wakae pending.

Asilimia kubwa ya watu duniani wanawachukia waarabu, japo sio wote, so kwanini uwachukie!! Wamekosa nini hawa watu!!. kuna msemo unasema, "Mti wenye matunda hupigwa mawe" tukubali tukatae waarabu wanajua mpira, wanajua kuucheza mpira watakavyo, hata uwachukie vipi huwapunguzii chochote, ndio kwanzaa wanapeleka🔥🔥🔥 najua asilimia kubwa ya mashabiki wa huku wapo upande wa Mamelodi, sasa mtu huyu kweli utajadiliananae vipi kwenye suala la mpira!! Ni kupoteza muda tu. Huyo mamelodi ni nguvu ya soda tu, many times hafiki kokote, end of the day anatolewa na mnae mchukia/mwarabu, waliobarikiwa, hawatumii uchawi/ushirikina.


Anaejua anajua tu

Not Racism
Tukemee ubaguzi, chuki, roho mbaya na wivu.
Matokea ya fainali unayo lkn !!??
 
Wewe ndio una chuki kwa waarabu na Uisilamu kwa ujumla, mmetoka na chuki zenu huko habari za kimataifa mmehamia na huku, wewe shabikia mamelodi, wengine tupo na waarabu. Tusipangiane
Kwani hapo zilikua zinacheza dini? Wydad kuna wachezaji wakristo na Mamelodi sundowns kuna wachezaji Muslims
 
Kwani hapo zilikua zinacheza dini? Wydad kuna wachezaji wakristo na Mamelodi sundowns kuna wachezaji Muslims

Nani ameleta ubaguzi hapo! Hapa ukionekana unashabikia timu za waarabu kelele nyiingi, lakini ukishabikia za waafrika sio tatizo, tena ukionekana unashabikia timu ya mwarabu unaweza ukatukanwa, sasa hapo nani mbaguzi!!
 
Mechi ya fainali inaanza jua kali saa tisa hata man city angefungwa

Simba ilitaka cheza na raja home game saa 10 ila caf wakakataaa

Mamelodi sababu timu ya rais wa caf inacheza mechi saa tisa inakubaliwa.

Hela za zawadi zinarudi mfukoni mwa rais wa caf.. janja janja za simba na Mo.

Hela unatoa mfuko wa huku kisha unaweka mfuko wa huko
Mfa maji hakosi kutapa tapa, mechi ilianza saa 10:05 jioni.

Endelea kuteseka maana ndiyo maisha uliyojichagulia [emoji16]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Wewe una chuki sana na waarabu na uislamu kwa ujumla, haupo kimpira bali ushabiki, chuki na roho mbaya. Badilika
Mimi sina chuki na waarabu kwani uislamu ni utamaduni wao na mimi haunihusu ila mimi ni mwafrika halisi na ninathamini utamaduni wangu wa kiafrika na ndio maana hata majina ya kigeni siyataki kabisa wanatufanya sisi waafrika majuha tu.

Duniani kote hakuna jamii ya watu wanaohusudu tamaduni za kigeni ila ni waafrika tu ndio tumefanywa misukule na wapagazi wa wageni.
 
Wewe ndio una chuki kwa waarabu na Uisilamu kwa ujumla, mmetoka na chuki zenu huko habari za kimataifa mmehamia na huku, wewe shabikia mamelodi, wengine tupo na waarabu. Tusipangiane
We chizi Me ni muislam alafu niuchukie uislam?
 
Hamna lolote lofa wewe unaelewa maana kucheza ? Unaangaliaga statistics za mechi?
Waydad wanachojua Ni kutumia nafas chache tena za bahati tu haujui mpira wewe endelea kujifunza
 
Hamna lolote lofa wewe unaelewa maana kucheza ? Unaangaliaga statistics za mechi?
Waydad wanachojua Ni kutumia nafas chache tena za bahati tu haujui mpira wewe endelea kujifunza

Nipo na wydad, so tusipangiane
 
Back
Top Bottom