Mi wacha nikushauri kwa faida yako na wengine.
Kama wadau walivyosema hapo juu (mi sina uhakika) ni kwamba ukisoma EGM huwezi enda Engineering. hilo la kwanza tilia maanani.
Mi ninachokiona hapa ni kwamba unaweza tu kuhamua either kwenda 'advance' au kwenda chuo, yote ni sawa tu. Ila ujue kwamba kuna faida na hasara za kila option. Ukiamua kwenda 'advance', maana yake uwe tayari kufanya national form six exam na kufaulu ili uweze kwenda chuo. Faida ya option hii ni kwamba unaweza maliza form six na ukagundua kwamba hautaki tena kuwa engineer, hivyo ukabadili fani na kusoma kitu kingine chochote upendacho. Mfano EGM unaweza kusoma degree ya Accounts, Business Admin, Finance, IT, Economics etc. Hasara yake ni kwamba ukimaliza form six, na ukafeli, unakua huna profession, yani huwi mtaalamu wa kitu chochote. Tofauti na ukimaliza diploma ambapo unaweza kutumia cheti cha diploma kuombea kazi sehemu husika. Hasara ya kwenda diploma ni kwamba utatumia miaka mitatu kupata diploma, wakati advance ni miaka 2. Pia, ukishakua na diploma ni vigumu kidogo kutumia cheti cha diploma hiyo kuomba kozi nyingine chuo. Mfano, kama una diploma ya I.T, huwezi kuitumia kuomba degree ya Accounts!
Kama wadau walivyosema hapo juu (mi sina uhakika) ni kwamba ukisoma EGM huwezi enda Engineering. hilo la kwanza tilia maanani.
Mi ninachokiona hapa ni kwamba unaweza tu kuhamua either kwenda 'advance' au kwenda chuo, yote ni sawa tu. Ila ujue kwamba kuna faida na hasara za kila option. Ukiamua kwenda 'advance', maana yake uwe tayari kufanya national form six exam na kufaulu ili uweze kwenda chuo. Faida ya option hii ni kwamba unaweza maliza form six na ukagundua kwamba hautaki tena kuwa engineer, hivyo ukabadili fani na kusoma kitu kingine chochote upendacho. Mfano EGM unaweza kusoma degree ya Accounts, Business Admin, Finance, IT, Economics etc. Hasara yake ni kwamba ukimaliza form six, na ukafeli, unakua huna profession, yani huwi mtaalamu wa kitu chochote. Tofauti na ukimaliza diploma ambapo unaweza kutumia cheti cha diploma kuombea kazi sehemu husika. Hasara ya kwenda diploma ni kwamba utatumia miaka mitatu kupata diploma, wakati advance ni miaka 2. Pia, ukishakua na diploma ni vigumu kidogo kutumia cheti cha diploma hiyo kuomba kozi nyingine chuo. Mfano, kama una diploma ya I.T, huwezi kuitumia kuomba degree ya Accounts!